Habari Kali
Loading...

INASIKITISHA SANA...!! KIMBUNGA 'HAIYAN' CHADAIWA KUUWA ZAIDI YA WATU 10,000 NCHINI PHILIPPINES, VIETNAM NA CHINA WAANZA KUJIPANGA...

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Jiji la Tacloban nchini Philippines baada ya kukumbwa na kimbunga 'Haiyan' 
Kijana akiangalia maafa yaliyosababishwa na kimbunga jijini Tacloban nchini Philippines.
Nyumba pamoja na boti vikiwa vimeharibiwa eneo la Iloilo nchini Philippines.
Mama huyu akiwa katika jengo lililobomolewa na kimbunga.
Mtoto akijaribu kumpatia msaada mwenzake baada ya kimbunga hicho jijini Tacloban.
Gari likiwa limepinduka baada ya kimbunga jijini Tacloban.
Famili hii ikijaribu kujihifadhi wakati wa kimbunga eneo la vijijini nchini Philippines.
Wananchi wa Philippines wakisubiri misaada katika jiji la Sorsogon.
(PICHA ZOTE: EPA, AP NA REUTES)
-Red Cross wasema watu zaidi ya 1,200 wamepoteza maisha, 1,000 kati yao ni kutoka jiji la Tacloban, Leyte
-Watu milioni nne waathirika na kimbunga hicho
-Miili yatapakaa mitaani, waokoaji walinganisha maafa hayo na Tsunami ya mwaka 2004
-Kimbunga hicho kinaelekea nchi za Vietnam na China
-Mamilioni wayahama makazi yao
-China na Vietnam wajipanga kukabiliana na kimbunga hicho

VIFO vilivyotokana na kimbunga kikali 'Haiyan' kilichoikumba nchi ya Philippines juzi Ijumaa vinadaiwa kufikia 10,000 imeelezwa.
Mpaka sasa taarifa kutoka Shirika la Msalaba Mwekundu zinasema watu 1,200 nchini Philippines wamepoteza maisha wakati wengi wakijeruhiwa lakini idadi hiyo inaweza kuongezeka.
1,000 kati ya waliopoteza maisha wanatoka jiji la Tacloban na kisiwa cha Leyte wakati 200 wakitokea Samar.
Kimbunga hicho kinatarajia kuikumba nchi ya Vietnam leo na baadaye China kwa mujibu wa taarifa za mamlaka ya hali ya hewa. Wananchi wa Vietnam na China wanachukua tahadhari kwa kujikinga na madhara yanayoweza kutokana na kimbunga hicho.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top