Mtu mmoja Mkazi wa Kijii cha Majimoto Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi Mwami M wanalusi (31) amekatwa na kisu katika sehemu zake za siri na watu wasiojurikana wakati akiwa amelala ndani ya nyumba ya shemeji yake.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi Dhahiri Kidavashari alisema tukio hilo lilitokea hapo jana majira ya saa nane usiku nyumbani kwa shemeji yake.
Alisema siku ya tukio Mwami alikuwaameenda kumtembelea shemeji yake aitwaye Anset Kapampala (36) ambae alikuwa akiishi katika kijiji hicho cha Majimoto.
Baada ya mlo wa usiku mwenyeji wake alimuonyesha chumba cha kulala ambacho hata hivyo hakikuwa na godoro wala kitanda bali kulikuwa na Benchi la kupumzikia ambalo shemeji yake ambae ni mwenyeji wake alimweleza Benchi hilo ndilo alitumie kama kitanda cha kulalia kutokana na hari yake ya kiuchumi kutokuwa nzuri.
Alisema wakati Mwami yuko ndani ghafla walitokea watu asio wafahamu ambao waliingia ndani ya chumba hicho na wala hawakumsemesha chochote hari ambayo ilimfanya ashikwe na butwaa
Alieleza ndipo watu hao walipo anza kumkata kwa kisu sehemu zake za ume hadi ume ukawa umeharibika vibaya na kisha watu hao wakatokomea kusiko julikana na kumfaya yeye apige mayowe ambapo shemeji yake ambae alikuwa amelala kwenye nyumba yake nyingine alishituka na ndipo alipoingia ndani na kumkuta mgeni wake akiwa ameharibiwa vibaya sehemu zake za siri
Kamanda Kamanda Kidavashari alisema chanzo cha tukio hilo bado hakijulikana na polisi wanaendelea na epelelezi ili kuwabaini na kuwakamata waliohusika ili sheria ichukuwe mkondo wake.
Tukio Rasmi katika picha linakuja.,..
source:Walter Mguluchuma-Katavi yetu Blog
Mpanda Katavi
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >