Habari Kali
Loading...

MFAHAMU VIZURI JACKLINE WOLPER..!! SOMA HISTORY YA MAISHA YAKE HAPA MPAKA ALIPOFIKIA SASA..!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >


Anaitwa Jacqueline Wolper. Ni mmoja kati ya warembo wenye umaarufu wa aina yake nchini na kwenye “industry” ya bongo movies. Jack ni mwanadada mwenye mvuto unaokubalika na wengi na ameweza kujipatia umaarufu mkubwa sana kupitia Filamu  mbalimbali alizoshirikishwa na mpya alizoanza kuzifanya chini ya kampuni yake mwenyewe. Licha ya kuwa mwigizaji mwenye uwezo wa kipekee, Jack pia ni mwongozaji mzuri wa Filamu na mwandikaji “script” mwenye viwango vya kimataifa.


Jacqueline Wolper alizaliwa tarehe sita (6), mwezi wa kumi na mbili (12) wa mkoani Moshi –Kilimanjaro na kupata elimu yake ya msingi katika shule ya msingi Mawenzi huko huko moshi na baadaye elimu ya sekondari katika shule ya sekondari Magreth ekenywa iliyopo jijini Arusha na baadae nchini Kenya.

Baada ya kumaliza elimu yake hiyo ya sekondari Jackline aliamua kujiendeleza kwa kusomea mambo ya “sales and marketing” na baade alianza kujihusisha na biashara za promotion na baadae allingia kwenye biashara za saluni maeneo ya tandale jijini Dar es Salaam, kabla ya kujiingiza kwenye sanaa ya uigizaji.

Jack aliingia kwenye sanaa kupitia kwa mwanadada Lucy komba ambaye pia ni mwigizaji mwenzake ndani ya tasnia ya bongo movies nchini. Yeye mwenyewe anasema kuwa Lucy ndiye aliyemfuata na kumshawishi ajiunge naye kwenye maigizo kwani anaona anaweza na atafanya vizuri kama ataamua kujiingiza kwenye sanaa. Kufahamiana kwa wawili hawa kulitokana na wao kuwa majirani na kwa Lucy kuwa mteja wa mara kwa mara katika “saloon” ya mwanadada Jack. Hii ilikuwa ni mwaka 2009.
Baada ya kushauriwa kwa muda mrefu ndipo Jack alipoamua kujiingiza kwenye sanaa na kwa mara ya kwanza alionekana kwenye Filamu ya “Ama Zangu Ama zao” aliyoifanya na mwanadada Lucy Komba.
Baada ya hapo alianza kupata mialiko toka kwa watu mbalimbali ili aweze kuigiza kwenye Filamu zao ikiwemo Wiliam Mtitu pamoja na Marehemu Steven Kanumba na aliweza kufanya Filamu mbalimbali zilizomjengea jina ndani na nje ya nchi  zikiwemo Red Valentine na Pusi na Paku.
Akiwa nyumbani jackline wolper katika muda wa mapumziko, hupendelea kujifunza kupiga gitaa, ushauri alioupata toka kwa marehemu steven Kanumba na pia hupenda kupumzika na kufanya usafi wa nyumbani kwakwe. Mida ya jioni huependelea kwenda kuogelea na kwenda kutazama movie kwenye sehemu za cinema.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top