Habari Kali
Loading...

FILAMU YA MAISHA YA NUHU NA GHARIKA 'NOAH' YAPIGWA MARUFUKU NCHI ZA KIARABU

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Filamu ya Hollywood iliyochukua bajeti kubwa sana ikiwa na jina la ‘Noah’ ambayo imeigizwa na Russell Crowe kama Nuhu imepigwa marufuku kuoneshwa katika nchi wanachama wa Umoja wa nchi/Falme za Kiarabu (United Arab Emirates).
  
Filamu hiyo imepigwa marufuku kwa madai kuwa kwanza inazua mtazamo tofauti kutokana na utofauti uliopo kati ya Biblia na Quran kuhusu simulizi la Nuhu na gharika ingawa kuna mfanano katika vitabu hivyo vitakatifu kuwa kulitokea mafuriko na Mungu akamwambia Nuhu ajenge safina.
  
Sababu ya pili ni kuonesha mfanano wa nabii na muigizaji wa kawaida hali inayoweza kuzua hisia tofauti kwa baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu.
  
Mkurugenzi wa maudhui ya vyombo vya habari wa umoja wa nchi/falme za Kiarabu (National Media Centre-United Arab Emirates), Juma Al-Leem, ameiambia Associated Press kuwa filamu hiyo haitaruhusiwa kwenye nchi hizo kwa kuwa inakinzana na miiko katika dini ya kiislam hasa katika kumfananisha nabii na mtu wa kawaida.
  
“Kuna vipande vya filamu hiyo ambavyo vinakanganya (simulizi) kati ya Biblia na Uislam, kwa hiyo tumeamua kuacha kuionesha.” Alisema Juma Al-Leem. “Ni muhimu kuheshimu dini hizi mbili na kuacha kuonesha filamu hiyo.
  
Taasisi ya kiislamu ya Al-Azhar ya Misri, imeeleza kuwa imeikataa filamu hiyo kwa kuwa iko kinyume na mafundisho ya dini hiyo na kwamba kuonekana kwa kukataa kuonesha taswira ya mtu ikifananishwa na ile ya nabii kutasaidia kuepuka watu kuanza kumuabudu mtu badala ya Mungu.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top