Habari Kali
Loading...

WAUMINI WA KANISA LA ADVENTISTA LA WASABATO WAADHIMISHA SIKU YA MATENDO YA HURUMA KWA KUCHANGIA DAMU

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mpango wa Taifa wa Damu salama kwa kushirikiana na waumini wa dhehebu la Sabato wameendesha zoezi la kuchangia damu katika mikoa mbalimbali hapa nchini.
Mikoa hiyo ni Dar-es-salaam, Dodoma, Mwanza, Kilimanjaro,Tabora, Mara, Morogoro, Mbeya na Iringa, lengo likiwa  ni kukusanya chupa 3000 katika mikoa hiyo.
Akiongea na waumini waliofika katika kituo cha Damu salama ilala mchikichini Askofu wa Jimbo la Mashariki ambalo linajumuisha mikoa ya Dar-es-salaam, pwani, Dodoma, Morogoro, Lindi, Mtwara na Zanzibar Askofu Mark Walwa Malekana aliwashukuru waumini kwa moyo wa upendo wa kuja kuchangia damu.
Amewaomba waendelee na moyo huo ili wawe wachangia damu k wakujirudia kwani amesema mwanaume anaweza kuchangia mpaka mara nne kwa mwaka na mwanamke mara tatu kwa mwaka .
Askofu Mark Walwa Malekana pia alikemea tabia ya baadhi ya watumishi wa hospitali ambao wanajihusisha na tabia ya kuuza damu kuwa waache tabia hiyo kwani ni dhambi.
“Watu wanajitolea kwa hiari na upendo kuchangia damu bila malipo yoyote hivyo wanapaswa kupata huduma hiyo bure”, aliasa Askofu Malekana.
 Askofu Mark Walwa Malekana akiongea na waandishi wa habari ambao walifika ilala mchikichini kushuhudia waumini wakichangia damu.
 Afisa mwendeshaji Mpango wa Taifa wa Damu Salama Dr. Abdu Juma akimshukuru Askofu Mark walwa Malekana kwa kuhamasisha waumini wa makanisa ya sabato kujitolea damu kwa hiari kuokoa maisha ya wagonjwa
 Meneja wa Damu salama  kanda ya Mashariki Dr. Avelina Mgasa akimkaribisha askofu kuongea na waumini
Zoezi la kuchangia damu likiendelea jijini Dar es salaaam

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top