Habari Kali
Loading...

HAWA NI WATU MAARUFU ZAIDI DUNIANI NA WANAITIKISA DUNIA AMBAO WAMEZALIWA HAPA BONGO..!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >


Marin Hinkle
Wazazi wake walikutana katika moja ya harakati za kuleta amani Africa,akazaliwa nchini Tanzania,ila baadae, baada ya familia yao kumaliza mkataba wa kufanya kazi ,walirudi nchini Marekani mjini Boston,na ndipo alipokulia na kufanikiwa kwenda kusomea mambo ya sanaa chuoni.
Marin-Hinkle-copyright-vibe-co-tz
Huyu ni actress maaruf sana Hollywood,kwa wapenzi wengi wa filamu wanaweza kumgundua mapema,kupitia movie kadhaa alizowahi kucheza,katika filamu zilizowahi kuchukua tuzo na kufanya mauzo makubwa sana duniani.Amewahi kucheza kama starring msaidizi kwenye movie ya Once and Again,akacheza tena kwenye series maarufu ya Two and half Men na kuonesha kipaji chake kwenye series nyingine mpya ya Law & Order:Special Victims Unit.
Rachel Luttrell
Rachel Luttrell ni mcheza filamu na muimbaji maarufu duniani,alizaliwa hapa hapa Jijini Dar es salaam,Tanzania ,yeye akiwa ni mtoto wa kike wapili katika familia yao,baba yake akiwa ni professor wa Economics, katika chuo cha Dar es salaam.Baada tu ya kufikisha miaka mitano ,yeye na familia yake nzima ikahama nchi nakurudi kwao Canada katika jiji la Toronto.
Rachel-Luttrell-Copyright-Vibe-co-tz
Mbali na kipaji chake kizuri sana chauchezaji filamu na kuimba,Rachel ameweza kuandika story ya movie nyingi  sana,na kuweza kusaidia ku-direct yeye mwenyewe,baadhi ya movie alizowahi kucheza ni “ER”,”Sleepwalkers”,”Feast of All Saints”,”Imposter”,”Stargate Atlantis”,”I Wish You Love”,NCIS (America’s number one-rated television show) na nyingine nyingi.Ameweza kupata jina kubwa sana hapo Hollywood kwa kazi yake nzuri ya uigizaji.
Manish Patel
Manish-Patel-Copyright-vibe-co-tz
Huyu ni producer ,mwandishi na Director anayeheshimika sana huko nchini uingereza,amezaliwa hapa hapa Tanzania ,kati ya mpaka wa Tanzania na Zambia.Inasemekana kuwa Manish Patel ni moja kati ya wanaharakati walioweza kuinua sanaa ya filamu huko uingereza kwa kazi yake nzuri.Movie zake zimeweza kufika level za kimataifa na kuweza kuchaguliwa katika tuzo mbali mbali za filamu duniani, zikiwemo tuzo ya the Cannes Film Festival, Portobello Film Festival, Mumbai Film Festival, Bite The Mango Film Festival na nyingine nyingi. nakushinda ‘Best Film Award’ for ‘Cash and Curry’ kwenye Portobello Film Festival.
Freddie Mercury
Huyu ni mwimbaji nguli,mzaliwa wa huko Zenji ,Stone Town,Tanzania.Baada ya kuzaliwa kwake na kukaa kwa muda hapa nchini Tanzania, wazazi wake wakaamua kumpeleka masomoni nchini India,kwenye shule binafsi.
Freddie-Mercury-Copyright-vibe-co-tz
Baada ya muda,katika  kipindi cha masomo yake, alihamia nchini uingereza,huko ndipo kipaji chake cha kuimba kilipo onekana,alifanikiwa kwenda katika chuo cha sanaa,na huko ndipo alipokutana na wanafunzi waimbaji wenzake waliokuwa kwenye kikundi kilichokuwa kinajiita Smile. Kundi lilopata umaarufu mkubwa nchini marekani ,kufikia mauzo ya platinum ya album zao.Baada ya miaka kupita ikaja julikana kuwa Freddie alikuwa na ugonjwa usiojulikana,jambo lilomsababishia ashinde hospitali na wakati wowote apatapo nafuu hutoka na kuingia studio ku-record, haikupita muda sana,aliaga dunia,ikawa pigo kubwa katika ulimwengu wa muziki .

Source: Vibe Magazine

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top