Habari Kali
Loading...

AHUKUMIWA MIAKA 20 JELA KWA KOSA LA KUMUOA DADA YAKE ALBINO HUKO KAHAMA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Mahakama ya wilaya ya kahama mkoani Shinyanga Jana imemuhukumu kwenda jela miaka 20 Ally Sanyiwa (24) kwa kosa la kumuoa dada yake Mektilda Sanyiwa(20) mkazi wa Chela.

Imedaiwa mahakamani hapo na mwendesha mashitaka wa polisi Koplo Evodia mbele ya hakimu mfawidhi George Mariki kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo mwezi machi mwaka huu.

Aidha koplo Evodia ameiambia mahakama hiyo kuwa mtuhumiwa huyo aliweza kumtorosha dada yake na kisha kumpeleka katika kijiji cha Mazimba na kuishi naye.

Wazazi wa Mektida ambaye ni mlemavu wa ngozi (albino) wamesema kuwa mara baada ya binti yao kutoweka nyumbani walipata hofu na kuanza kumtafuta mpaka alipopatikana akiwa anaishi nyumba moja na kijana wao.

Mahakama hiyo imetoa hukumu kwa mtuhumiwa huyo mara baada ya kukiri kutenda kosa hilo ambalo ni kinyume na maadili ya kitanzania.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top