Habari Kali
Loading...

PICHA 3: NISHA ANANGWA KUMWANIKA MTOTO MWENYE UKIMWI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
           Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ akiwa na mtoto aliyemwanika laivu mitandaoni.
Stori: Mwandishi Wetu
OOHOOO! Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amenangwa kutokana na kitendo chake cha kumwanika laivu mtoto anayeishi na Virusi vya Ukimwi (VVU).
Nisha akiwa kwenye baiskeli na mtoto huyo anayeishi na Virusi vya Ukimwi (VVU)..
Hayo yalijiri mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo mwigizaji huyo alikwenda visiwani Zanzibar kumsaidia mtoto huyo asiye na wazazi ambaye amekuwa akitengwa na watoto wenzake shuleni na mitaani kutokana na kuishi na virusi hivyo.
Kupitia mitandao ya kijamii, Nisha alitundika picha ya mtoto huyo bila kumziba sura kisha akaandika: “Huyu mtoto ndiyo sababu hasa iliyonifanya nikaja huku, yupo darasa la pili, ana miaka 9, baba yake alimkana akiwa tumboni mwa mama yake, ambaye alifariki pindi tu alipomzaa.

...Akiwa amembeba mtoto huyo.
“Mtoto huyu mdogo anaishi na Virusi vya Ukimwi, jamii inayomzunguka imemtenga, wazazi hawataki watoto wao wacheze naye, shule mwanzo alikataliwa, kula yake Allah anajua, yupo mpweke, SISEMI HIVI KUMTANGAZA LA HASHA ila ikumbukwe mimi ni msanii na ni kioo cha jamii.
“Jamii inatakiwa ione na kujifunza, inauma sana, ila nipo hapa kwa ajili yake.”
Baada ya hapo, kuna baadhi ya mashabiki wake walimpongeza kwa kuonesha mfano wa kusaidia jamii hasa watoto lakini upo upande wa pili uliomnanga kwa kutojua kuwa kumwanika mtoto wa aina hiyo kunaweza kumwongezea unyanyapaa.

“Ni kweli inauma na Nisha umefanya jambo jema kumsaidia lakini kwa kumwanika hadharani mimi siungi mkono ni bora hata ungemziba. Huku ni kumuongezea unyanyapaa,” aliandika mtoa maoni mmoja.
Mwingine akaandika: “Acha hizo wewe Nisha.

Mbona watu kibao wanasaidia bila kukiuka maadili na haki za binadamu? Kweli kwa upande huo haijatulia.”
Nisha alikwenda visiwani humo katika Kijiji cha Donge, Unguja ambapo alisaidia familia saba ambazo hazina msaada, hata hivyo kitendo cha kumwanika mtoto huyo kilitia doa misaada aliyoitoa ingawa wapo waliosema kuwa inawezekana alifanya makosa bila kufahamu.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top