Habari Kali
Loading...

PICHA 5 ZA TIMBWILI: PENZI LA BURE NI NOMA...!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Shabaash! Jamaa ambaye jina halikupatikana aliyedai kuwa ni mume wa mtu, ameonja joto ya jiwe baada ya kujikuta akikunjwa na mwanamke kisa penzi la bure alilopewa akashindwa kulilipia.
Jamaa anayedaiwa kuwa mume wa mtu akiwa amekunjana na mwanamke baada ya kupewa penzi na kukataa kulipa.
Wakiwa kwenye ‘patroo’ zao za kufichua uovu, makamanda wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, walinyetishiwa kuwa kuna tukio la mwanamke na mwanaume waliokuwa wakizichapa.
Kama mshale, OFM ambao huwa hawalazi damu, walifika mara moja na kunasa tukio hilo lililokuwa ndani ya mgahawa ambao mchana huuza chakula na usiku ni danguro.
Timbwili likiendelea na mwanamke akizidi kudai malipo yake.
Katika tukio hilo ilionekana kuwa mwanaume alizidiwa kwani muda mwingi alikuwa amekunjwa kwa nguo yake shingoni na mwanamke huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la Frida.
“Huwezi kwenda hotelini ukala chakula bure. Lazima ulipe. Jamani huyu baba tumekubaliana nimpe huduma kwa shilingi elfu tano, sasa amemaliza shida zake hataki kunipa changu. Hii ni kazi kama kazi nyingine tuheshimiane,” alisema Frida kwa jazba.
...Mpaka kieleweke.
Kwa upande wake, mwanaume alikuwa akiomba asipigwe picha kwani ni baba wa watoto wawili hivyo akitolewa gazetini ataonekana alichepuka.
“Naomba msinipige picha, nikitoka gazetini itakuwa aibu. Nina mke na watoto nitadhalilika,” alisema jamaa huyo.
Hata hivyo, alipofanikiwa kumtoka Frida, jamaa huyo alizingirwa na vijana waliokuwa wakipita eneo hilo huku mwanamke huyo akiendelea kudai chake akijigaragaza na kumwaga radhi.
Baadaye kila mmoja alichukua hamsini zake baada ya mwanaume huyo kuingia mitini kibabe bila kumlipa Frida.
...Soo baada ya kutulia.
NENO LA MHARIRI
Utafiti unaonesha kwamba watu wengi walio katika ndoa ndiyo wanaongoza kwa kusaliti hivyo wanandoa tafakarini halafu mchukue hatua.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top