Habari Kali
Loading...

AUNT NA MUME WA MTU WANASWA...!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
STAA wa filamu za Kibongo asiyekaukiwa na vituko, Aunt Ezekiel amenaswa live akijivinjari na mume wa mtu, Risasi Mchanganyiko linaripoti bila woga.
Staa wa filamu za Kibongo asiyekaukiwa na vituko, Aunt Ezekiel (katikati) akiwa karibu na dansa wa Wasafi Classic, Moses Yobo.
Aunt alinaswa akiwa na mnenguaji wa Wasafi Classic, Moses Yobo anayepiga mzigo chini ya Nasib Abdul ‘Diamond’ katika shoo ya Fiesta iliyofanyika jijini hapa katika Uwanja wa CCM Kirumba, wikiendi iliyopita.
Awali, katika gazeti hili, toleo la wiki iliyopita, tuliripoti habari ya Aunt kufanyiwa vurugu nyumbani kwa Wema na mke wa Yobo aliyekuwa na timu yake.
Moses Yobo akiongoza kikosi cha unenguaji cha Wasafi Classic jukwaani.
Baada ya habari hiyo kutoka, Aunt aliibuka na kusema kuwa, hana uhusiano wa kimapenzi na Yobo lakini kwa sababu amezushiwa, akaahidi kujiweka karibu na kumfanyia mitego ili atoke naye kweli ndipo afanyiwe vurugu ya halali.
Kuonekana akiwa naye jijini Mwanza, tena kwa ukaribu kama wapenzi huku wawili hao kila mmoja akiwa hana mpenzi wake anayetambulika, kulitafsiri kuwa Aunt ameamua kukinukisha.Habari ambazo Risasi Mchanganyiko halijazithibitisha kutoka kwa watu wa karibu na Aunt, zinasema kuwa, usiku huo baada ya shoo, wawili hao walilala pamoja katika hoteli ambayo haijajulikana.
Moses Yobo akiwa na familia yake.
Paparazi wetu baada ya kuona hali na ukaribu huo alimfuata Aunt ili kujua kama kweli ameamua kutekeleza azma aliyoitangaza, lakini akaruka kimanga.
“Nimeamua kukaa na Yobo karibu ili kuwazingua wasanii ambao baada ya kuniona wakawa wananitania eti mimi mkewe kutokana na taarifa za magazeti zilizoripotiwa hivi karibuni, ila ukweli mwenyewe unaona tupo hapa na Wema (Sepetu) na watu wengine na kimsingi hakuna kitu kibaya kinachoendelea kati yetu,” alisema Aunt.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top