Habari Kali
Loading...

Bweni laungua, wanafunzi 100 wakosa pa kulala.

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Wanafunzi 100 wa Shule ya Sekondari ya Kilimo ya Kilosa, hawana mahali pa kulala baada ya bweni lao kuteketea kwa moto jana asubuhi.
Mkuu wa shule hiyo, Erasto Luandara alisema moto huo uliotokea wakati wanafunzi hao wakijiandaa kuingia madarasani hakijafahamika.
“Mfumo wa umeme katika shule hii umechakaa na mara ya mwisho ulifanyiwa ukarabati mwaka 2003 na Danida,” alisema mkuu huyo wa shule.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elias Tarimo alitembelea shuleni hapo baada ya tukio hilo na kuwapa pole wanafunzi na uongozi wa shule kwa tukio hilo.
Tarimo alisema tayari Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa imechukua hatua za kusaidia upatikanaji wa magodoro na madaftari kwa ajili ya wanafunzi waliokumbwa na mkasa huo.
Mkuu huyo wa wilaya pia alisema amemwagiza mkurugenzi wa halmashauri kuandaa ripoti kuhusu hali ya shule hiyo iliyojengwa katika miaka ya 80 kwa msaada wa Serikali ya Cuba, ili ripoti hiyo iwasilishwe katika ngazi za juu na kufanyiwa kazi.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top