Habari Kali
Loading...

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA DIVA KUHUSU PENZI LAKE KWA CRAZY GK...SOMA HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Ile hatua ya U boifriend na U girlfriend ikiwa imepita na kuingia katika hatua ya uchumba wa mahaba kedekede, dada yetu Diva alijikuta anamwaga chozi baada ya watu mbalimbali kumtupia maneno kwamba amempendea King Crazy Gk umaarufu wake ili abaki kupata KIKI Mjini.
Diva alijikuta anatoa maneno makali ya hasira na kuangua kilio na kudai kuwa hajampendea Gk umaarufu wake sababu yeye ni Diva ni maarufu pia hapa Tanzania, hakuishia hapo alizidi kudai ya kuwa amechoshwa na watu wengi kusema ana mahusiano na Gk ambae hana Pesa na ameachana na mwanaume ambae anapesa na cheo kikubwa Tanzania.
Diva:Nimechoshwa kuulizwa maswali ya Prezzo au mwanasiasa sababu huko siko tena na sina mahusiano nao zaidi ya urafiki wa kawaida wa kuongea nao kama watanzania wenzangu na pili amedai kuwa hana hisia zozote za kimapenzi na watu hao sababu yeye yuko na Mpenzi wake na anafurahia mapenzi hayo na mume wake ambae ni Mungu wa Muziki Tanzania.
Diva Binti mwenye mvuto na umbo la kuvutia na mvuto wa sura ya babyface na macho ya duara alidai kuwa King Crazy Gk ni Mtu mwenye kipato kizuri tu ila sio mtu wa kujionyesha au kuishi maisha ya kujionyesha na ni mtu mtaratibu anaeishi maisha yake alioridhika nayo na anatumia pesa zake kulipia elimu na kufanya mambo yake na biashara zake binafsi tofauti na watu wanavyomfikiria. Diva la Diva alisema kuwa Hakumpendea Gk Pesa au Umaarufu wake amempenda yeye kama yeye na anachukia baadhi ya watu kumuingilia kimawazo maisha yake ya mapenzi ambayo mashabiki wengi wameonekana kuvutiwa nayo kupitia mtandao wa instagram.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top