Habari Kali
Loading...

LINAH, DIAMOND BALAA MWANZA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
UZINDUZI wa Serengeti Fiesta 2014 juzikati ulirindima baada ya msanii wa kizazi kipya anayefanya poa kwa sasa Estelina Sanga ‘Linah’, kufanya balaa wakati wakiimba wimbo walioshirikiana na mkali Nasib Abdul ‘Diamond’ jukwaani.
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Estelina Sanga ‘Linah’ na Nasib Abdul ‘Diamond’ wakicheza kwa pamoja katika uzinduzi wa Serengeti Fiesta 2014 jijini Mwanza.
Wakati wawili hao wakiteka hisia za mashabiki kutokana na jinsi walivyokamua huku wakicheza shoo, pia wasanii mbalimbali nao walifanya vitu vyao jukwaani hapo, wachanga kwa wakongwe wakiwemo Young Killer na Mo music waliokuwa wenyeji.Wakizidi kuwarusha mashabiki wao.
Wengine waliopata fursa ya kufanya makamuzi ya nguvu ni pamoja na Yamoto Bendi, Sky Light, Makomandoo, Chege na Temba, Madee, Nay wa Mitego, Stamina, Young Dee, Mr Blue, Nyandu Toz, Khadija Maumivu, Vanesa Mdee na baadaye Dogo Janja aliyepanda jukwaani ikiwa ni siku chache baada ya kutimiza umri wa miaka 18.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright 2025 ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top