Habari Kali
Loading...

SOMA HAPA, HII INASIKITISHA SANA , WATOTO WATATU FAMILIA MOJA WABAKWA KWA ZAMU, WAZAZI WASHTUKA WAMESHAHRIBIWA VIBAYA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Inaumiza kusikia! Watoto watatu ambao ni majirani wamejikuta wakiingia kwenye kadhia ya kubakwa kwa zamu na watoto wenzao ambapo mmoja anadaiwa kuwa na umri wa miaka 17 huku mwingine akiwa na umri wa miaka 14 ambaye pia ni denti wa darasa la nne.
Watoto watatu wadogo waliobakwa kwa zamu na watoto wenzao.
Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni maeneo ya Mbagala-Mianzini jijini Dar ambapo awali ilidaiwa kuwa wazazi wa watoto hao walishtushwa walipogundua watoto wao wameingiliwa na kuharibika vibaya baada ya kuwakagua kila mmoja kwa wakati wake walipokuwa wakiwaogesha.
Wazazi wa kiume wa watoto hao.
Wakizungumza na gazeti hili kwa masikitiko kwa nyakati tofauti, wazazi wa watoto hao walidai kwamba walipowabana waliwataja kwa majina waliowafanyia vitendo hivyo, jambo lililowafanya ‘kuwataiti’ watuhumiwa kwani walikuwa wakiwafahamu.
Wazazi hao walidai kwamba walipowauliza watoto hao walikiri kuwaingilia wenzao kwa zamu kwenye jumba bovu (pagala) ambapo walienda mbali zaidi na kusema kuwa walikuwa wamewafanyia vitendo hivyo kwa muda mrefu sasa kwa zamu, nyakati ambazo watoto hao walirejea kutoka shuleni chekechea (jina kapuni kimaadili).
Wazazi wakike wa watoto hao.
“Nilishtuka na kuumia sana baada ya kugundua mwanangu ameingiliwa, tena kwa kipindi kirefu kiasi kwamba ameharibika kabisa.
“Huwezi kuamini mke wangu alipopata taarifa alipandwa na presha kiasi cha maisha yake kuwa hatarini,” alisema mmoja wa wazazi hao aliyejitambulisha kwa jina moja la Hussein.
Walaka wa polisi wa kukamatwa kwa watuhumiwa.
Kwa pamoja wazazi hao waliripoti ishu hiyo kwenye Kituo cha Polisi cha Charambe na baadaye Mbagala-Kizuiani ambapo majalada ya kesi hizo yalisomeka MBL/RB/9608/14-KUBAKA, CHAR/RB/1292/2014-KUBAKA CHAR/RB/2192/2014-KUBAKA ambapo watuhumiwa wanasubiri kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top