Hakuna siri ya wawili duniani! Baada ya staa wa sinema za Kibongo, Riyama Ally kumfichaficha mwanaume aliyezaa naye kwa muda mrefu, hatimaye jamaa huyo amenaswa.
Tukio hilo lililopigwa chabo na ‘mtu wetu’ lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Ukumbi wa Chabruma uliopo Mabibo, Dar ambako kulikuwa na bethidei ya mtoto wa Riyama aitwaye Fatuma aliyetimiza miaka miwili ambapo alifanya sherehe kama harusi huku akiunganisha na bethidei yake iliyokuwa siku moja kabla ambapo mastaa kadhaa walihudhuria.
Muda mfupi baada ya Riyama na mwanaye kuingia ukumbini, waliofuatia kuingia huku wakicheza muziki kwa staili ya Kisambaa walikuwa ni wakwe, yaani baba wa mtoto na mama yake na ndugu wengine waliowasindikiza.
Baada ya kuingia, sherehe ilianza ambapo mshehereshaji ambaye ni msanii wa filamu, MC Kinyata alimwita mbele baba wa mtoto anayejulikana kwa jina moja la Haggy na kuungana na mzazi mwenzake na mtoto wao na hapo zoezi la kukata na kulisha keki likaanza.
Wawili hao walionekana wenye furaha huku wakilishana keki na kukumbatiana kimalovee hali iliyosababisha ukumbi ulipuke kwa vigelegele na baada ya hapo walikuwa pamoja hadi mwisho wa sherehe.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >