Habari Kali
Loading...

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA MOURINHO BAADA YA DIEGO COSTA KUPIGA GOLI TATU JANA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Diego Costa ametisha sana tangu alipojiunga na Chelsea
JOSE Mourinho anaamini Diego Costa sio mchezaji wa kawaida baada ya kupiga mabao matatu katika mechi ya jana ya ligi kuu dhidi ya Swansea.
Mabao hayo sasa yamemfanya Costa afikishe magoli saba katika mechi nne tangu aliposajiliwa kwa paundi milioni 32 kutoka Atletico Madrid majira ya kiangazi mwaka huu.

"Kama timu inacheza vizuri lazima afunge magoli. Saba katika mechi nne, labda amezidisha," alisema kocha huyo baada ya kushinda mabao 4-2."Ni kitu kisichokuwa cha kawaida. Hatuwezi kutarajia kuwa baada ya mechi nane atakuwa na magoli 14."
"Ametulia kwenye timu. Timu ilijengwa kwa staili ya kusubiri mshambuliaji kama yeye na nadhani kila mtu anajua kuwa Chelsea haikufanya makosa kwa kutokwenda sokoni katika dirisha dogo la usajili, januari 2013"

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top