MAKAVU! Msanii aliyefunga pingu za maisha juzikati na mwanaume mwenye asili ya Denmark, Janus Stanley Landrock, Lucy Komba amesema kadri siku zinavyozidi kwenda anazidi kunogewa na mapenzi ya mzungu wake na kuwaona Wabongo si lolote kutokana na kuwa waongo.
Akieleza la rohoni mbele ya paparazi wetu, Lucy alisema anatamani angefahamiana mapema na mzungu huyo kuliko kuyumbishwa na mapenzi ya Kibongo ambayo yamejaa ahadi nyingi za uongo, tofauti na watu wa asili hiyo ambao wana msimamo mkubwa katika mapenzi.
“Nilipopataka siyo siri nimefika, kama ulaghai nishakumbana nao sana katika mapenzi ya Kibongo ambayo yalinikinaisha mno, lakini sasa sina mawazo kabisa katika haya mambo, wenzetu hawapendi kuchepuka hovyo akikupenda, anakupenda kweli,” alisema Lucy.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >