Habari Kali
Loading...

Nuhu Mziwanda: Uhusiano Wangu wa Kimapenzi na Shilole Umenipa Kick ya Kutoka Kimuziki

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mwaka 2013 ni watu wachache tu waliokuwa wakilifahamu jina la Nuh Mziwanda kwakuwa alikuwa msanii mchanga anayetafuta nafasi yake kwenye muziki wa Tanzania. Wimbo wake ulioanza kumtambulisha uliitwa ‘Otea Nani’ ambao ulipata nafasi kiasi kwenye vituo vya redio.

Lakini jina la muimbaji huyo lilikuja kuwa kubwa zaidi baada ya kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na Shilole, uhusiano ambao umekuwa wa wazi katika mitandao yao ya kijamii. Kuonesha kuwa ana mapenzi ya kweli kwa Shilole ambaye ni mama wa watoto wawili, Nuh alijichora tattoo mkononi yenye jina la Shilole.

Shilole pia aliamua kumpa shavu mpenzi wake kwa kuonekana kwenye video ya wimbo wake ‘Msondongoma’ na hivyo kumwongezea wigo zaidi. “Yeye ndo Mama watoto Mungu akijaalia,” aliandika Nuh kwenye picha ya Shilole aliyoiweka kwenye akaunti yake mtandao wa Instagram yenye followers zaidi ya 19,000.
nuhu

“Ukichagua kitu roho yako inapenda raha sana.sasa kwa mfano mimi Mziwanda nna haja gani ya kucheat wakati mtoto ana kila kitu, kiukweli napenda mke wangu alivyojaa jaa mie hoooooi,” aliandika kwenye picha nyingi ya Shilole.

Naye Shilole kwenye picha aliyoiweka kwenye mtandao huo akiwa na Nuh Mziwanda aliandika, “Ilove my baby,” kudhihirisha upendo wake. Hakuna shaka kuwa uhusiano huo umemwezesha Nuh Mziwanda kukuza jina lake na ameutumia vizuri kujitambulisha zaidi.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top