Habari Kali
Loading...

HATARI: EBOLA YAINGIA NCHINI UJERUMANI..MTU MMOJA AFARIKI DUNIA!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Ebola Ujerumani 1Mfanyakazi wa Umoja wa mataifa aliesafirishwa mpaka Ujerumani akitokea Liberia wiki iliyopita baada ya kupatwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola, amefariki dunia kwenye hospitali ya St. Georg Ujerumani.
Kifo chake kinamfanya kuwa binadamu wa kwanza kufariki kwa Ebola ndani ya ardhi ya Ujerumani ambapo Mwanaume huyu raia wa Sudan mwenye umri wa miaka 56 alifikishwa kwenye hospitali hiyo akiwa na hali mbaya ambapo amefariki jana usiku baada ya hali yake kuwa mbaya pamoja na kwamba alipewa uangalizi mkubwa wa kupatiwa matibabu.
Kuna hii stori ya shirika la afya la umoja wa mataifa kwamba karibu watu 8,400 waliathirika na gonjwa la ebola ambapo 4,000 kati yao wamefariki.
Msudan huyu aliefariki dunia anakuwa mgonjwa wa tatu wa Ebola kutibiwa nchini Ujerumani sababu tayari kuna Mganda mmoja daktari amekua akitibiwa huko Frankfurt, wakati Yule Msenegal aliruhusiwa kutoka hospitali hivi karibuni baada ya kutibiwa kwa wiki tano.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top