Habari Kali
Loading...

HII NDIO FAMILIA INAYOISHI NA KULALA NA SIMBA KAMA MWANADAMU!! TAZAMA PICHA HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
lion
Kwenye nyumba tunazoishi mara nyingi tumekua tukifuga na kuishi na Paka au Mbwa kitu ambacho ni kawaida na ni nadra sana kukutana na mtu anaeishi na au kufuga viumbe ambavyo ni hatari kwa maisha ya binadamu mfano Nyoka.
Sasa hii inaweza kutushangaza kwa sababu kuna Simba ajulikanaye kama mkuu wa msitu alihamishia makazi yake kwenye nyumba ya Melanie Griffith mwigizaji ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 57.
Unaambiwa Simba huyu alihamia kwenye nyumba hiyo toka Melanie akiwa na umri wa miaka 14 huko Sherman Oaks,California Marekani ambapo mama yake Melanie ni mwigizaji Tippi Hedren na baba yake wa kambo kwa muda huo Noel Marshall.
Kingine cha kufahamu ni kwamba hii familia ilikuwa inamlea Simba huyu nyumbani ambae alipewa jina la Neil kama wanyama wengine, mfano Mbwa au Paka.
lion1Picha za Melanie na mama yake wakiwa wanacheza na simba huyo ziliwekwa kwenye jarida la ‘Life Magazine‘ mwaka 1971 ambapo zilikua zinaonesha mtoto huyo kuwa na ukaribu mkubwa na Simba na hata kulala na kuogelea nae.
Mama Melanie aliyeigiza kwenye filamu ya ‘The Birds’ miaka 8 baada ya kupigwa kwa picha hizo alionekana pia kupenda kucheza na mnyama huyo pori.lion3
Simba huyu alikuja kuishi na familia hiyo wakati mama Melanie na baba wakiwa wanatengeneza filamu Afrika ambapo kwenye matembezi yao waliona kuna nyumba yenye Simba ambao hawana makazi mazuri ndipo walipoamua kumchukua Simba huyo kutengeneza filamu inayohusiana na Simba.
Kweli baadae walitengeza filamu iliyoitwa ‘Roar’ ambapo ilitolewa kwenye miaka ya 80 ambapo kwenye mahojiano yaliyofanywa mwezi April mwaka 1982 na The Guardian, U.K ilitangazwa filamu hiyo ya Roar.
Griffith alielezea jinsi alivyopata alama za usoni na kusema Simba huyo hakumaanisha kumuumiza, aliendelea kusema ‘Baada ya kukaa miaka 7 na Simba unasahau kama Simba ni mnyama na pia ni hatari kuwa nao karibu, katika utengenezaji wa filamu hamna mnyama alieumia sema watengenezaji wengi wameumia na wapo hospitali’lion4Mama wa Griffith ambaye sasa ana miaka 85 alipendezwa sana na uhusiano wa Griffith na wanyama mpaka akaamua afungue kituo cha kulea wanyama ambao wamekosa malezi kiitwacho ‘Shambala Preserve’ kwenye mjia wa  Acton California Marekani mwaka 1972.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top