Habari Kali
Loading...

TASWIRA KUTOKA ENEO LA MBAGALA RANGI 3 BAADA YA LORI LA MAFUTA KUTEKETEA KWA MOTO NA KUUA WATU!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Moto ukiteketeza baadhi ya maduka yaliyokuwa jirani na lori la mafuta lililolipuka.
Baadhi ya wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya moto huo kuzimwa.
WATU kadhaa wanadaiwa kupoteza maisha kwa kuungua kwa moto uliolipuka wakati wakichota mafuta kutoka kwenye lori lililopata ajali usiku wa kuamkia leo eneo la Mbagala Rangi Tatu, Temeke jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa mtu aliyekuwa eneo la tukio ni kwamba watu hao walikuwa wakiiba mafuta baada ya lori lililokuwa limebeba shehena ya mafuta kupata ajali kabla ya kulipuka na kusababisha maafa hayo.
Mpaka sasa inadaiwa kuwa mtu mmoja amefariki katika ajali hiyo ila idadi kamili ya watu waliopoteza maisha bado haijafahamika.
Taarifa zaidi kuhusu tukio hili zitaendelea kuwajia.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top