Habari Kali
Loading...

KIJANA ANYWA DAMU YA NG'OMBE KABLA YA KWENDA KUIBA, ADAI NDIO INAYOMSAIDIA ASIKAMATWE!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
UntitledKijana wa miaka kumi na 19 anayeitwa Jamal Nasiru kutoka Nigeria amekamatwa na chombo cha dola kinachohusika na kudhibiti ukabaji (SARS) baada ya kukiri kunywa damu ya ng’ombe kabla ya kufanya kazi yake ya uporaji na ukabaji.
Kijana huyu alikiri kutumia damu hiyo kumsaidia kumlinda yeye na kundi lake kila wakitaka kufanya kazi zao za uporaji, vijana hao walikamatwa baada ya damu hiyo ya ng’ombe kushindwa kufanya kazi ambapo mkuu wa kundi hilo alithibitishwa kuuwa kwenye mapigano kati ya kundi la waporaji hao na askari.
Baada ya kijana huyu kuhojiwa alisema ‘ Nashangaa sikuweza kutoroka siku ambayo nilikamatwa na siwezi kukumbuka nimeua watu wangapi wakati nafanya kazi, watu ambao niliwaua ni ambao walikataa kutii amri ambazo nilikuwa nawapa’.
Aliendelea kusema kuwa sababu ya yeye kujiingiza kwenye biashara hizo za ukabaji ilitokana na kulipwa pesa ndogo kutoka kwenye kazi yake ya ulinzi, baada ya muda mfupi aliona kuwa kazi hiyo inampotezea muda kwahiyo akaamua atafute njia nyingine ya kumpa pesa ndio akamtafuta rafiki yake mwenye jina laitwae Umaru Akubaka aliyemtambulisha kwenye kundi hilo la uporaji na ukabaji.
Mtuhumiwa alisema yeye na kundi lake walifanya shughuli zao kwenye mji wa Lagos ambapo walikamatwa baada ya kumuua mlinzi tarehe 11 Mei mwaka huu na akakiri kuwa walipewa silaha na mkuu wa ulinzi wa Omole Estate na kuzitumia kukaba wasafiri wa njia za miguu au kuny’anganya magari kwenye njia panda au gari ambazo zimewekwa kwenye ukingo wa barabara.
Polisi wametoa ripoti na kusema mtuhumiwa huyu atapewa adhabu yake baada ya uchunguzi kumalizika.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top