Habari Kali
Loading...

MAKAVU LIVE...!! MADAME WEMA MWAGA FEDHA MAMA, HAZIISHI NG'OO!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
KWAKO Miss Tanzania usiyechuja tangu mwaka 2006 hadi leo? Hongera kwa ‘ku-maintain’ ustaa wako tangu miaka hiyo hadi leo.
Ni matumaini yangu u-mzima wa afya. Ukitaka kujua afya yangu, namshukuru Mungu niko poa, naendelea kulisogeza gurudumu la maendeleo kupitia kalamu yangu.Madhumuni ya kukuandikia barua hii si tu kukujulia hali, bali pia kukukumbusha juu ya maisha yako ya kistaa.
Eee, we ni staa kwelikweli nani asiyekujua!
Kwa kipindi cha hivi karibuni nimekuwa nikifuatilia juu ya mbwembwe zako na jeuri ya fedha. Ulianzia kwenye Bendi ya Skylight ukafanya kufuru, baadaye mtoto wa kike ukasababisha tena kwa Yamoto Band, kijana Aslay atakuwa kakushukuru kweli kwa mvua ya fedha uliyomwagia.
Yawezekana upo katika ‘kaligi’ ka upinzani na aliyekuwa shosti wako, Kajala Masanja ambaye naye alionesha mbwembwe za namna hiyo hivi karibuni lakini pointi ya msingi hapo ya kujiuliza, zipo nyingi kiasi cha kuzimwaga?
Kila mtu anatambua kwamba fedha zinazotoka bila kuingia mwisho wake ni nini? Zitaisha.
Nakumbuka kabla haujaendesha kaligi ulikoibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya mpinzani wako Kajala, ulikuwa kimya kuonesha zilikuwa zimeanza kukata.
Sasa naona zimekutembelea kwa mara nyingine, jeuri imerudi palepale. Unamwaga fedha ili zikuzoee? Mh! Sidhani kama ni sawasawa.
Japo sina uhakika sana uwepo wa miradi yako, lakini nafikiri ukianzisha miradi kupitia fedha unazozimwaga kwa sasa zinaweza kukusaidia huko mbeleni. Starehe zipo lakini ‘kuzi-controo’ ni muhimu.
Hata katika eneo lako la kazi, mashabiki wako wamekuwa wakilalamika sana hawapati kazi mpya kutoka kwako. Kupitia fedha hizo, unaweza pia kuimarisha kampuni ya kuzalisha filamu na ukatoa filamu za kukidhi mahitaji ya mashabiki wako lukuki walioko nchi nzima.
Una bahati ya kupendwa, una wafuasi wengi wanaokufuata kwa nini usiitumie vizuri nafasi hiyo kwa kuanzisha miradi mbalimbali kama kipindi kile ulichokuja moto na kipindi cha In My Shoes? Hivi kiliishiaga wapi kile kipindi? Nini kilitokea?
Ninachopenda kuona kutoka kwako ni wewe kuzitumia fedha kwelikweli lakini pia ziingie kwelikweli, zaidi ya zile zinazotoka.
Kama ni muelewa, elewa na yafanyie kazi mawazo yangu. All the best!

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top