Habari Kali
Loading...

MPISHI WA HOTELI AMUUA NA KUMKATA VIPANDE MPENZI WAKE KISHA KUMPIKA KAMA SUPU!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Mwanaume mmoja ambaye kazi yake ni ya upishi nchini Australia, anadaiwa kumuua mpenzi wake na kumkatakata vipande na kupika baadhi ya sehemu zake za mwili.
Aliyafanya unyama huo kabla ya yeye mwenyewe kujitoa uhai wake.

Marcus Volke, mwenye umri wa miaka 28, alijikataa koo yake huku akiwatoroka polisi waliokuwa wamekuja kufanya uchunguzi baada ya majirani zake kuripoti kuwepo harufu mbaya mfano wa nyama iliyooza iliyokuwa inatoka nyumbani kwa mwanamume huyo.

Maafisa wa polisi walipata sehemu za mwili wa mwanamke huyo zikitokota kwenye sufuria iliyokuwa imejazwa kemikali huku vipande vingine vikiwa kwenye karatasi za plastiki za takataka nje ya nyumba katika mtaa wa kifahari za Teneriffe.

Taarifa hii ni kwa mujibu wa jarida la Brisbane Courier Mail. Mwanamke huyo raia wa Indonesia bado hatajambulishwa rasmi.

Wapenzi hao waliokuwa wanaishi pamoja walikutana wakiwa wanafanya kazi kwa meli za kifahari na wote walikuwa wameajiriwa.

Wakazi wa mtaa huo waliambia vyombo vya habari kuwa harufu mbaya ilikuwa inatoka katika myumba ya Volke na ikazidi kuwa mbaya siku ziliposonga.

"nilipotoka nje harufu hiyo ilisababisha machozi kutoka machoni na hata kunifanya kujihisi mgonjwa,'' alisema mkazi mmoja. ''Ungedhani chakula cha Mbwa au nyama ilikuwa imeachwa nje kwa siku kadhaa.''
Polisi wangali wanafanya uchunguzi.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top