Habari Kali
Loading...

NJEMBA ACHEZEA KICHAPO: KISA UKUWADI KWA MKE WA MTU!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Adabu ishike mkondo wake! Njemba aliyetajwa kwa jina moja la Jose amejikuta akichezea kichapo ‘hevi’ kilichomsababishia kuvunjika pua kwa tuhuma ya ukuwadi wa mke wa mtu, Ijumaa Wikienda lilikuwepo eneo la tukio.
Njemba aliyetajwa kwa jina moja la Jose akivuja damu baada ya kipigo.
Msala huo wa aina yake ambao ulivuta umati mkubwa ulijiri wikiendi iliyopita maeneo ya Makumbusho jijini Dar baada ya kijana huyo kuwekewa mtego na kukutwa na mke wa mtu akimsomesha.
Kijana Jose akiondolewa eneo la tukio asije kuumizwa zaidi.
Kwa mujibu wa jamaa waliomwekea mtego Jose (wa kwanza kulia pichani juu), jamaa huyo amekuwa sugu mtaani hapo kiasi cha kuwakera baadhi ya vijana wenye wapenzi na wake zao.Jose alishuhudiwa akila kichapo kutoka kwa vijana wasiotaka kufuata sheria bila shurti hadi akatiririkwa damu chapachapa puani baada ya kuvunjika pua.
Baadhi ya vijana bado wakiwa na gadhabu wakati wa kuamulizia ugomvi huo.
“Haiwezekani awe anawakuwadia wake zetu kwa wanaume wengine, leo tulipanga tumtoboe hata jicho moja ili liwe fundisho kwake na wengine wenye tabia kama za Jose,” alisema mmoja wa vijana waliokuwa wakimsulubu jamaa huyo.Vijana waliokuwa eneo la tukio wakizozana katika songombingo hilo.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, mwanaume aliyemwekea mtego Jose ambaye aliomba hifadhi ya jina gazetini alisema kwamba, waliamua kumpa mkong’oto kijana huyo baada ya kuchoshwa na vitendo vyake hivyo.
Baadhi ya vijana wenye hasira waliochoshwa na tabia ya kikuwadi ya Jose.
Alisema hata mkewe alishamuonya juu ya mazoea na Jose na kumweleza kuwa akimkuta tu na kijana huyo lazima atampa talaka jambo ambalo lipo kwenye ‘prosesi’.
Kwa upande wake Jose alishindwa kusema lolote huku akisikilizia maumivu ya kipigo hadi alipoondolewa eneo la tukio na wasamaria wema.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top