Habari Kali
Loading...

Noorah, asimulia tatizo alilokuwa nalo ambalo madaktari walishangaa iweje awe hai!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Rapper Noorah aka Babastylez amesema kama isingekuwa neema za Mungu, leo hii asingekuwepo duniani.

Akiongea kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV hivi karibuni, Noorah alidai alikuwa na tatizo la kujikunja kwa utumbo lililodumu kwa miaka 20. Amesema wakati tumbo likimuuma alikuwa akidhani ni vidonda vya tumbo.
 
“Doctor amekuja kunifanyia operesheni, baada ya operesheni akamuita mama pembeni. Akamwambia ‘mama huyu mwanao ana Mungu sana’. Maana kitu alichokikuta huko tumboni, hakuna binadamu anaweza akawa hai kwa hali ile. Utumbo wangu mdogo ulikuwa umejikunyata wote. Akauliza ‘alikuwa anapataje choo huyo!’"
 
Alisema operesheni hiyo ilidumu kwa masaa sita na ilifanyika kwenye hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam.
 
“Nimetoka dokta anasema utumbo wangu ulikuwa umekuwa mdogo kama wa mtoto mchanga kwahiyo ulikuwa unapitisha chakula kwa tabu sana. Kwahiyo kipindi hicho nilikuwa nakula vyakula vya kusaga tu, na vyenyewe sometimes vingine havipiti.”
 
Pamoja na kuwa amepona tatizo hilo, Noorah amesema ana tatizo jingine linalofanya awe anapata vitu kama vifafa (seizure) ambavyo vimesababisha na ajali aliyopata mwaka 2005 iliyomfanya apate tatizo kwenye ubongo.
 
 “Sasa hivi dokta ameshanipa treatment na ameniomba nije nipate mind rest,” alisema Noorah ambaye kwa sasa amerejea kwao Shinyanga kama sehemu ya maagizo ya wataalam.
 

Noorah aliwaasa wasanii na watu wengine kuwa na desturi ya kuchunguza afya zao mara kwa mara kubaini matatizo yanayowasumbua.
-Mpekuzi

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top