Habari Kali
Loading...

Stamina aeleza kwanini remix ya ‘Number 1′ ya DIAMOND ilihit kuliko remix za nyimbo zingine za Bongo

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Msanii wa Hip Hop kutoka Morogoro, Stamina ametoa sababu ya nyimbo nyingi za bongo zinazofanyiwa remix kutofanya vizuri hapa nyumbani.

Stamina aliitolea mfano remix ya ‘Number One’ ya Diamond na Davido kwa kudai kuwa msanii huyo alijua timing pamoja na thamani ya msanii aliyefanya naye.

“Diamond remix yake ilifanya vizuri kwasababu kwanza nyimbo ilikuwa hit, pili alijua kucheza na timing kitu ambacho ni cha umuhimu sana,” Stamina aliambia Bongo5. “Na tatu jinsi alivyopandisha thamani ya wimbo huo kwa kufanya kolabo na msanii mkubwa Africa kama Davido. Sasa kwanini isifanye vizuri? Kwahiyo timing, yaani muda wa kutoa hiyo remix. Kwasababu hauwezi kutoka remix kabla haijatoka original version. Unakuta original version imekufa wewe unadhani kufanya remix ndo utairudisha? Umefanya nyimbo ya masikitiko, nyimbo ya masikitiko unaifanyiaje remix, unataka usikitike nini zaidi? Remix nyingi zinakuwa ni nyimbo za party au nyimbo za umimi. Yaani zile nyimbo za kama kutuNishiana na kuoneshana nani zaidi. Kwahiyo tatizo kubwa wasanii wengi wanakosa kujua mambo kama hayo,” alisema Stamina.
-Bongo5

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top