Habari Kali
Loading...

BODABODA WANUSA KIFO BAADA YA KUKWAPUA POCHI...!! TAZAMA PICHA HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mmoja kati ya vibaka hao akiwa hoi baada ya kupata kichapo kikali.
Vijana wawili wa bodaboda ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja, hivi karibuni walikoswakoswa kuuawa baada ya kupora mkoba uliokuwa na simu ya mwanamke aliyekuwa akipita njia.
Tukio hilo lilijiri Jumanne iliyopita, saa 1.30 usiku maeneo ya Sinza Afrikasana, pembeni mwa Baa ya Hongera ambapo inadaiwa ni eneo hatari kwa wizi huo.Shuhuda wa tukio hilo alilitonya gazeti hili kuwa, imekuwa ni tabia kwa baadhi ya vijana kutumia usafiri wa bodaboda kupora watu simu na mikoba hasa wanawake na kwamba siku hiyo arobaini ya vijana hao ilikuwa imefika.
Askari polisi akiwa katika eneo la tukio.
“Sisi tulikuwa pale baa tunakunywa, mara tukamsikia mtu akipiga kelele za mwizi…mwiziii, ile kutoka ndiyo tukawaona hawa vijana wawili wakihangaika kuwasha bodaboda yao ili wakimbie.
“Yaani ilikuwa ni Mungu tu maana bodaboda isingegoma kuwaka, tusingewapata. Basi raia wenye hasira kali wakaanza kuwashushia kipigo, aliyekuwa akiendesha pamoja na yule dada aliyeibiwa wakachukuliwa hadi Kituo cha Polisi Mabatini huku aliyekwapua akipewa kipigo,” alisema shuhuda huyo.
Bodaboda iliyokuwa inatumiwa na vibaka hao ikiwaka moto baada ya kuchomwa na wananchi wenye hasira kali.
Hata hivyo, kijana huyo aliponea chupuchupu kuchomwa moto, kwani waliokuwa wamefuata mafuta ya petroli waliporudi walimkuta trafiki akizuia asiuawe.Kufuatia zuio hilo, raia hao walihamishia hasira zao kwenye kuichoma moto bodaboda kisha mtuhumiwa akachukuliwa hadi polisi kwa hatua zaidi za kisheria.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top