Habari Kali
Loading...

HIKI NDICHO ALICHOKISEMA KAKA YAKE VENGU KUHUSU KIFO CHA VENGU!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
kundi_la_orijino_komedi
Siku ya leo moja ya story kubwa ambayo ilikuwa ikisambaa kwa kasi mitandaoni na watu ambao hawakuingia mitandaoni walikutana na ujumbe ambao watu walikuwa wakisambaziana watu kwamba kuna msiba wa msanii wa kundi la Orijino Komedi, Clouds FM ikawatafuta Joti pamoja na Seki abao walikanusha juu ya tetesi kwamba msanii Vengu amefariki.
Ni muda mrefu msanii huyo hajaonekana, timu ya millardayo.com na #AMPLIFAYA zilifanya jitihada na kumpata Andrew Shamba ambaye ni kaka wa Joseph Shamba aka Vengu, hapa akaanza kuzungumzia jinsi tetesi hizo walivyozipokea; “Familia inatusikitsha kwa maana kwamba haina ukweli wowote hii ishu ni zaidi ya mara tano wanazungumza hao wat.. na hao watu hawazungumzi kwa mapenzi mazuri Vengu sasa hivi ana hali nzuri vitu vidogo vidogo anajisaidia yeye mwenyewe, hizi habaru za uvumi zinakatisha tamaa..
Vengu sasa hivi ana mwaka mmoja na nusu yuko nyumbani kama anaenda Hospitali ni binadamu.. labda Malaria, au labda kichwa kitamuuma ndio tutasema twende Hospitali lakini sio mgonjwa na Komedi wanajua kwamba amepumzika na wao wamekubali kwamba apumzike ili baadae arudi..
Madaktari wake ni wakali mno kuna daktari wake hataki suala la kufanya mahojiano au kumkumbusha kumbusha vitu vya nyuma inakuwa kama unamtia huzuni.. kumpa simu asikilize ni vitu ambavyo vimekatazwa
Ni muda mrefu msanii huyo hajaonekana akiigiza pamoja na kundi lake la Orijino Komedi; “Vengu ameanza kuumwa 2011 mwezi wa tisa“–Andrew Shamba.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top