Habari Kali
Loading...

Mtoto mchanga aokotwa Sinza karibu na Mahakama ya Mwanzo akiwa ametelekezwa na Mama yake usiku wa kuamkia leo

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Wimbi la Dada zetu/wanawake kutupa watoto wachanga na wengine kuwaua na kuwanyofoa macho bado linaendelea kujitokeza katika maeneo yetu ambapo leo kuna kuna tukio limetokea mda mfupi uliopita ambapo Mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa mwezi mmoja ameokotw aakiwa ametupwa na Mama yake (hajatambulika jina mara moja) katika eneo la Mahakama ya Mwanzo Sinza 'C' Jijini Dar es Salaam (Mtoto hajafa) ila amejeruhiwa kwa kiasi kidogo usoni na mbwa waliokuwa wanaranda randa nje ya eneo hilo.

Tukio hilo limetokea jana Machi 29, 2015 saa 21:30 usiku ambapo mashuhuda wa tukio wanaeleza kuwa walikiona kichanga hicho kikiwa kimetupwa nje ya geti la nyumba namba 22 inayomilikiwa na Steven Lesika ambapo kugundulika kwa tukio hilo kumekuja baada ya ya wapita njia kusikia kichanga hicho kikilia ndipo walipoto taarifa kwa mwenye nyumba.
 Mashuda wa tukio hilo wakiwa katika harakati za kumpeleka mtoto huyo kwenye Kituo cha Polisi Mabatini
Mwenye nyumba baada ya kupewa taarifa aliripoti kwa Balozi wa eneo hilo, Lucia Kaunda. Balozi aliwaandikia barua wasamaria wema ili wampeleke kwenye Kituo cha Polisi Mabatini na kufunguliwa faili lenye namba KJN/RB/3237/015.

Wasamaria wema waliochukua jukumu la kumuokoa mtoto huyo wamepewa hati ya matibabu, maarufu kwa jina la PF3, wasamaria hao hao wameambiwa na Polisi wampeleke Hospititali ya Mwananyamala. 

Naambatanisha picha za tukio, kwa pamoja tuungane kuwapa elimu watu wanaokuwa na roho ngumu kwasababu mbalimbali ikiwemo ugumu wa maisha hali inayowapelekea kuwatupa watoto wao/kuwatekeleza.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top