Habari Kali
Loading...

Mwalimu Kizimbani kwa kumbaka Mwanafunzi wake huko Geita !

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Jeshi la polisi wilayani Chato mkoa wa Geita, limemfikisha kizimbani mwalimu wa shule ya sekondari Makurugusi kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi wa kidato cha pili.

Mwalimu huyo, Iddy Gerald (21), anatuhumiwa kufanya ubakaji huo Machi 23 mwaka huu saa 7:45 usiku ndani ya chumba chake kilichopo katika kijiji cha Makurugusi.
 
Mbele ya mahakama ya wilaya ya Chato, mwendesha mashitaka ambaye pia ni mkaguzi wa polisi wilayani humo, Semeni Nzigo, ameieleza mahakama hiyo mshitakiwa amefanya ubakaji huo wakati akifahamu ni kosa kisheria kufanya mapenzi na mwanafunzi.
 
Amedai mwalimu Idd alikamatwa usiku wa manane akifanya mapenzi na mwanafunzi huyo (jina limehifadhiwa) bila ridhaa yake huku akiwa na umri wa miaka 16 kinyume cha sheria.
 
Hata hivyo, mshitakiwa huyo alikana tuhuma hizo mbele ya hakimu wa mahakama hiyo, Jovith Katto, lakini amerudishwa mahabusu hadi Aprili 9 mwaka huu baada ya kukosa wadhamini.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top