Habari Kali
Loading...

Shilole Aendeleza Mvua ya Vipigo kwa NUH Mziwanda...!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
MWANADADA anayefanya vizuri katika muziki na filamu nchini, Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole, ameendeleza tabia yake ya kumpa vipigo vya mara kwa mara mpenzi wake, Naftar Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ ambaye pia ni msanii. 
 
Mwanadada anayefanya vizuri katika muziki na filamu nchini, Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole akiwa na mpenzi wake Nuhu Mziwanda.
 
Habari kutoka vyanzo vya kuaminika vinasema Shilole alimdunda kwa mara nyingine Nuh wiki iliyopita, baada ya kutokea kutoelewana baina yao kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
 
“Ninampenda sana mume wangu na ninamheshimu, hili suala linapozungumzwa au kuulizwa linaniumiza sana, haya ni mambo ya muda mrefu na yameshamalizika,” alisema msanii huyo nyota wa kibao cha Malele.
 
 
Kwa upande wake Nuh alipotafutwa, simu yake haikupatikana hewani na hata alipotumiwa ujumbe mfupi wa maneno na kuulizwa kuhusu jambo hilo pia hakujibu.Hii siyo mara ya kwanza kwa wapenzi hao kukwaruzana, kwani imeshawahi kutokea siku za nyuma hadi kufikia wakati wakatengana.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top