Habari Kali
Loading...

SHILOLE ALEWA CHAKARI ASHUSWA KWENYE BOTI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
DIVA wa miondoko ya mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, juzikati alijikuta akilewa chakali kiasi cha kushindwa kupanda boti iliyokuwa imeandaliwa maalum kwa ajili ya kwenda kusherehekea tukio la kukatwa keki katika kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya msanii mwenzake, Estelina Sanga ‘Linah’, iliyofanyika Slipway, Masaki jijini Dar.
Staa wa miondoko ya mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’.
Shilole alikuwa amealikwa kwenye sherehe hiyo iliyoanza kurindima jioni ya saa 10 ndani ya Ukumbi wa Paparazi, ambapo waalikwa walianza kupata mapochopocho zikiwemo pombe na baadaye kutakiwa kupanda boti ili kwenda kumalizia sherehe katikati ya maji kwa kukata keki.
Zuwena Mohamed ‘Shilole’.
Kutokana na kubugia kiburudisho kupita kiasi, Shilole alishindwa kupanda boti iliyokuwa imeegeshwa pembeni mwa bahari na hivyo kumpa kazi ya ziada mchumba wake Nuh Mziwanda aliyelazimika kumrudisha garini ili warejee nyumbani.
“Kusema kweli mimi hata sielewi nilishindwaje kupanda boti, network ilikata, nilishangaa tu kujikuta nipo kwenye bethidei ya Menina Mikocheni, nafikiri kilichotokea muulize baby wangu Nuh Mziwanda,” alisema Shilole baada ya kuulizwa kuhusu ‘kuzimika’ kwake.
Nuh Mziwanda alikiri kuwa mpenzi wake alipoteza fahamu, kiasi cha kumlazimisha yeye kumbeba na kumrudisha tena klabu ya Paparazi ambako alipatiwa maji baridi kwa wingi huku akipigwa na kiyoyozi cha nguvu kabla ya kwenda kwenye shughuli ya Menina.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top