Habari Kali
Loading...

SKENDO..!! MZEE MAJUTO ADAIWA KUZAMA KWENYE PENZI LA MJUKUU WAKE

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

MUSA MATEJA
IMEKAAJE? Komediani kipenzi cha wengi Bongo, Majuto Athuman ‘Mzee Majuto’, anadaiwa kuzama kwa mara nyingine kwenye penzi la msichana mbichi anayekadiriwa kuwa na umri sawa na mjuu wake.
Komediani kipenzi cha wengi Bongo, Majuto Athuman ‘Mzee Majuto’.
TUJIUNGE NA MKE WA MZEE MAJUTO
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, mke wa Mzee Majuto aitwaye Aisha Yusuf alikiri kuwa mumewe amenasa kwa ‘kibinti’ chenye umri wa miaka 18.
Aisha alidai kwamba, Mzee Majuto anaishi na binti huyo kama mke na mume, jambo ambalo watu wamekuwa wakimshangaa na kuhoji kwa nini anatoka na mtoto mdogo kiasi hicho wakati ana watoto wakubwa wenye uwezo wa kuzaa msichana kama huyo na akawa mjukuu wake.

MZEE MAJUTO NI KIOO CHA JAMII
“Kinachonichosha mimi kwa nini anafanya hivyo wakati yeye ni kioo cha jamii?
“Watu wengi wanatakiwa kujifunza mengi kupitia kwake, maana tangu aoe hata sisi hatujafurahishwa na jambo hilo ingawa kweli ni uamuzi wake.
“Kingine amekuwa hakai tena hapa nyumbani (Tanga) na kuna kipindi unapita hata mwezi tunawasilia kwenye simu tu labda mtoto aumwe ndiyo atapita tu na siyo kukaa.

NI MJUKUU WAKE KABISA
“Sijui mzee wangu anafanya hivyo kwa nini maana sasa ana zaidi ya miaka 60 na kama mtoto mimi sasa hivi nina umri wa miaka 35 kwake bado mimi mdogo sana na nina umri wa watoto wake wa kuzaa sasa huyo aliyemuoa si ni mjukuu wake kabisa?
“Mimi naona aibu tu kama familia ingawa dini kweli inaruhusu lakini si kwa mtoto kama yule,” alisema Aisha kwa uchungu.

MZEE MAJUTO ANASEMAJE?
Baada ya kumsikia mkewe, Ijumaa Wikienda lilimtafuta Mzee Majuto ili azungumzie ishu hiyo ambapo simu yake ilipokelewa na msichana mwenye sauti nyororo huku akidai kwamba mzee Majuto amelala apigiwe baadaye.
“Mimi ni mke wake mdogo, Mzee Majuto amelala, nafikiri jaribu kupiga baadaye anaweza kuwa ameamka na utaweza kuzungumza naye vizuri,” alisema.
Mzee Majuto alipotafutwa baadaye, simu yake iliita bila kupokelewa.

WASANII WENZAKE WAMLAANI
Baadhi ya wasanii waliozungumza na gazeti hili kwa sharti la kutotajwa majina yao walilaani kitendo cha Mzee Majuto kuwa na binti huyo kwani umri wake umeenda.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top