![]() |
| Picha Ya Maktaba |
Wanafunzi wawili wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Ongoma iliyopo Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamekutwa wakilawitiana katika shamba la migomba jirani na shule hiyo.
Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Jerad Kesi, amesema kuwa tukio hilo lilitokea Machi 5 mwaka huu.
Kutokana na tukio hilo, Mwalimu Kesi alisema mmoja wa wazazi wa
watoto hao alivamia shuleni hapo na kuwapiga walimu kwa kile alichosema
kuwa walimu hao walikuwa wamemdhalilisha mtoto wake.
“Siku ya tukio, wanafunzi wawili wa darasa la pili na mmoja wa darasa
la kwanza walikutwa na mwalimu wangu wakilawitiana kwenye migomba.
“Walipojua mwalimu amewaona, walikimbia na kuacha nguo zao pamoja na
yule wa darasa la kwanza. Tulipomhoji yule mtoto aliyebaki alikubali
kwamba amekuwa akilawitiwa na kwamba ameshafanyiwa kitendo hicho kama
mara saba hivi,” alisema Mwalimu Kesi.
Baada ya wanafunzi hao kutimua mbio, Mwalimu Kesi alisema walirudi
nyumbani na baadaye mmoja wa wazazi wao alifika shuleni hapo na
kuwashutumu walimu hao kwamba wamemdhalilisha mtoto wake kwa kumvua
nguo.
“Baada ya majibizano kati ya walimu na mzazi huyo, mzazi huyo aliwapiga walimu kwa fimbo na kuwajeruhi.
“Kwa hiyo, nilichokifanya nilikwenda kutoa taarifa polisi na kupewa
RB namba MJ/RB/988/15 kwa ajili ya kumkamata mzazi huyo,” alisema
mwalimu huyo.
Naye Mwalimu Idda Kilawe ambaye ndiye aliyewakuta wanafunzi hao wakilawitiana, amesema kuwa siku ya tukio
aliwakuta wanafunzi hao wakiwa ndani ya kibanda walichokuwa wamekijenga
kwenye migomba.
“Niliwakuta wakiwa wamejenga kibanda cha miti na kukiezeka kwa matawi
ya miti na ndani yake walikuwa wanafunzi watatu na wawili kati yao
ndiyo walikuwa wakilawitiana.
“Nakumbuka siku hiyo nilikuwa natoka kuchukua matokeo ya mitihani na
nilipokaribia eneo la tukio, nikasikia sauti za watoto. Niliposogelea
eneo hilo niliwaona wanafunzi wawili wakiwa uchi na yule mdogo ndiye
alikuwa amevaa sare. waliponisikia, wakakimbia,” alisema mwalimu Kilawe.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >


