Habari Kali
Loading...

BAADA YA KUSHARE MWANAUME MMOJA..SIWEMA, SHAMSA FORD WATUPIANA MADONGO!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Kazi imeanza! Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambaye kwa hivi sasa ni mpenzi mpya wa mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ na mpenzi wa zamani wa Mbongo-Fleva huyo, Siwema wameanza kuchimbana baada ya hivi karibuni kurushiana madongo.
Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ , Siwema.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shamsa aliposti picha na maneno akielezea kuwa anajiona ni mwanamke bora kwa kuwa ameweza kuzaa kwa njia ya kawaida na Mungu amemuepusha na kujifungua kwa kisu ambapo posti hiyo ilimkera Siwema.
Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford.
Kwa upande wake Siwema, aliichukua posti hiyo kama ilivyo na kuibandika kwenye ukurasa wake wa Instagram ambapo alianza kumchamba Shamsa kuwa siyo kwamba alipenda kuzaa kwa oparesheni ila alishauriwa na madaktari hivyo asijione amefika kwa Nay maana akitaka kurudi hatatumia hata sekunde. Mwandishi wetu aliwatafuta wawili hao ili kujua kulikoni ambapo Siwema alisema kuwa amechoshwa. Kwa upande wake Shamsa alisema hataki kuzungumza chochote atampa ‘kiki’.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top