Habari Kali
Loading...

NI KWELI ULAJI WA NYAMA YA KUKU WA KIZUNGU UNAPOTEZA NGUVU ZA KIUME??!! SOMA HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Siku zinazidi kusogea, maisha yanazidi kupata ugeni mkubwa wa vitu mbalimbali ambavyo vinakuja kutajwa kitaalamu kwamba ni hatari kwa mwili wa binadamu.
Niko na Mtangazaji aliyetangazwa kushika namba moja Tanzania kwenye maswala ya kijamii Dr. Isack Maro anaesikika kupitia NJIA PANDA ya CloudsFM ambapo kwenye hii post ya leo na anatueleza kuna ukweli gani kuhusu ishu iliyotajwa kwamba kuku wa kisasa ana madhara kwenye mwili wa Mwanaume na anafifisha nguvu za kiume.
Dr. Isaac anaanza kwa kusema >>> ‘Hii ni changamoto ambayo haipo Tanzania peke yake, ulimwenguni ni moja ya changamoto na mjadala mkubwa unaendelea, kuna wale wanatetea haki za walaji na wale ambao wanafanya biashara’
kuku‘Kuku analiwa kuliko mnyama au ndege yeyote duniani, wanasema kwa mwaka kuna kuku milioni 55 ambao wanaliwa zaidi ya ukikusanya pamoja, Mbuzi, Ngo’mbe na Nguruwe’
1. >>> ‘Mbinu ndio zinazoleta madhara, ni mbinu za kisayansi kuhakikisha kwamba kuku anakua na uzito wa kutosha katika kipindi cha wiki tatu, aweze kunona na kuuzika kirahisi’
2. >>> ‘Ukweli ni kwamba kinacholeta madhara sio nyama ya kuku bali ni vile vitu ambavyo vimewekwa kwenye kuku kuhakikisha kwamba kuku huyu anakua, anaongezeka uzito na mengine…….. na bahati mbaya huwa hizi ni kemikali au dawa mbalimbali’
doctor
3. >>> ‘Hizi dawa nyingine sio nzuri kwa mwili wa Mwanadamu hata kwa mwili wa kuku mwenyewe ni vile tu kuku hatumuoni sababu ameshachinjwa’
4. >>> ‘Ili Mwanaume aweze kuwa na nguvu za kiume anahitaji kuwa na uwiano wa kutosha na mzuri katika mfumo wake wa fahamu, wa damu na mwili wake mzima’
5. >>> ‘Moja kati ya vitu vinavyohitajika kwa wingi kwa Mwanaume ni homoni ya kiume ambapo bahati mbaya sana moja ya kemikali zinazopatikana kwa kuku ni homoni zinazomsaidia akue, hizi zikiingia kwenye mwili wa Mwanadamu zinavuruga utaratibu mzima wa mwili kutengeneza homoni, kuna uwezekano mkubwa kabisa ile homoni ya kiume isitengenezwe kwa wingi, hapo ndio tatizo linakoanzia’
Isaack Maro6. >>> ‘Tulizungumzia zamani Wanaume kuwa wanaota vitu kama Matiti, wananenepa kwenye sehemu ambazo hazitakiwi kunenepa kwa sababu ile homoni ya kiume imevurugwa, lakini pia kwa sababu homoni/kemikali tunazomuwekea Kuku ni nyingi kunatokea mvurugano mkubwa kabisa unaovuruga mfumo wa fahamu wa mwili’

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top