Habari Kali
Loading...

CHUPUCHUPU KUBAKWA...KUSINGIZI NINA UKIMWI ILINISAIDIA...!! SOMA STORY HII HAPA YA KUSIKITISHA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Habar ya humu wadada na wakaka... Wakubwa na wadogo kwa ujumla..
Nimekumbuka hili tukio lililonitokea kitambo kidogo japo si sana lakini bado nakumbuka na ningependa kushare na ninyi hapa..najua jf ina watu wengi na wa umri mbalimbali tunaweza kusaidiana kinamna moja ama nyingine"..

Nakumbuka siku ya tukio nilipokea simu namba mpya na jamaa alijitambulisha kama "Michael", sikumfahamu awali ila aliniomba niwe mpole nitamfahamu polepole na jioni yake aliniomba tule dinner wote sikubisha!".. Jioni ya saa moja niliweka mambo yangu vizur na kujiandaa mpaka saa mbili Tayar kulikuwa Giza,nikajivalia kigauni cha usiku kilichoacha sehemu kubwa ya mapaja yangu wazi!.nilichukua pikipiki mpaka sehemu husika (jina sipakumbuki vizuri), baada ya kushuka kwel nilimuona lkn bado sikumfahamu..tulikaa sehemu kuna kagiza taa kwa mbali hatukuongea sana akaniuliza ntakula nn nikamwambia..chakula kikaletwa tukala tukashiba akaniambia hakai mbali na pale tulipo ivo twende kwake aliniandalia kinywaji..nikakubali tukaenda. Kiukwel hapakuwa mbali kama kupanga basi alijipanga vyema...
Tulipofika aliniwekea Bia mbili za Safari baridi..sikuwa na mzuka sana siku hiyo na ivo alitegemea ningelewa mpaka nisijiweze lkn haikuwa ivo kwan zile bia zilinifanya niwe na nguvu zaid..baada ya mda kwenda ilitimu saa nne nikamuomba kuondoka ndo tatizo lilipoanzia hapo...akataka tufanye mapenzi tena kwa lazima nikagoma...tulibishana na kuvutana akaona namzid nguvu huku mda unazid kwenda...mungu anisamehe maana nilipata wazo la kumcoma kisu nikimbie lkn alilock mlango na ufunguo akautupa chini ya uvungu..baada ya mda nilisikia anaongea na simu aliporud akaniambia si najifanya mjanja sitaki kumpa papuchi basi nitaitoa kwa lazima..mara nilisikia group la wanaume weng kwa nnje wakigonga wafunguliwe hapo pombe yote ilipotea kichwan nikajikuta nasmile huku nawaza cha kufanya..nilimvuta taratibu nikamuigizia uwoya haoni ndani...nilimbembeleza kama motto kwa sauti ya kimahaba sana huku machozi yakinitoka..nilisingizia ukimwi huku namuangalia usoni kama kwel vile..alinyong'on yea akaniamni.aliwatoa wale wanaume akanirudisha nilipokuwa nakaa saa tano akinishukuru njia nzima.nilifika na kulala tu...

Wanaume nawaheshimu lkn sijui nawaonaje..bado weng wenu mnatakiwa kujifunza mengi juu ya mwanamke...ni kiumbe adimu hlf mapenzi sio amri ni hisia .kwa wale wapenda ofa na kukutana na mastrangers angalieni sana yasijetokea puani.


Mchana mwema.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top