Habari Kali
Loading...

Diamond, Ali Kiba wachuana Tuzo za Watu! Matokeo ya mshindi kutangazwa Mei 22!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
WANAMUZIKI mahiri wa muziki wa Bongo fleva nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ na Ali Kiba, ni miongoni mwa wasanii wanaochuana katika Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume katika Tuzo za Watu 2015.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Bongo 5 Media Group, inayoratibu tuzo hizo, Nancy Sumari, wasanii wengine walio katika kipengele hicho ni Elias Barnaba, Ommy Dimpoz na Jux.

Katika kipengele cha msanii bora wa kike wanaochuana ni Lady Jaydee, Linah, Mwasiti, Shilole na Vanessa Mdee.

Filamu ya Chausiku, Kigodoro, Madam, Mshale wa Kifo na Sunshine zinashindana kwenye kipengele cha filamu zinazopendwa.

Msanii JB na Ray, wanachuana katika kipengele cha mwongozaji bora wa filamu sambamba na Leah Mwendamseke, Timothy Conrad na William Mtitu.

Alisema Jumamosi yatatangazwa majina ya tano bora na Mei 8 mwaka huu yatatangazwa majina ya waliotinga tatu bora ambapo fainali itafanyika Mei 22.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top