Habari Kali
Loading...

DIAMOND: NILIWAHI KUPENDWA NA MSICHANA BAADA YA KUJIFANYA MIMI NI Z-ANTO

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Diamond Platnumz na meneja wake, Babu Tale jana walikuwa wakihojiwa kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM na kupitia Heka Heka alishare mambo mengi ambayo watu hawayafamu.


Muimbaji huyo alidai kuwa kabla hajatoka kwenye muziki, alikuwa anapenda sana kuimba wimbo wa Z-Anto, ‘Binti Kiziwi’ kiasi cha watu wengine kuamini yeye ndio Z- Anto.

Alisema ikatokea msichana mmoja akampenda akijua anayempenda ni Z-Anto lakini baada ya video ya wimbo huo kutoka, watu wakamjua kwamba sio yeye.

Anadai kuwa baada ya kujulikana ukweli huo, ilibidi asiendelee kukatiza maeneo ya Kariakoo aliyokuwa akiyatumia kukaa mara nyingi na kumchukua wiki tatu bila kwenda huko.

Alisema siku alipokutana na binti huyo aliyempenda kwa kudhania ni Z-Anto, alibadilisha njia fasta kwa kuhofia kuumbuka!

Swali je kwasasa Z- Anto amefulia wapi?

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top