Habari Kali
Loading...

GWAJIMA SASA ATIKISA NCHI, BAADA YA KUMTUKANA KADINALI PENGO!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
KIONGOZI wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Josephat Gwajima sasa anaitingisha nchi baada ya sakata lake lililotokana na kauli yake ya kejeli dhidi ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Policarb Kardinali Pengo kuwa gumzo karibu kila sehemu hapa nchini.
Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Mchungaji Josephat Gwajima.
Katika mitandao mbalimbali ya kijamii, redio, magazeti na televisheni karibu zote sasa zinapambwa na habari za kuitwa kuhojiwa, kuzimia, kulazwa hospitalini na hatimaye kuachiwa na Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam mara tu baada ya kuwa ametoa maneno ya kashfa na kejeli kwa kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki nchini.
Gwajima alitoa kauli hiyo ya kashfa baada ya Askofu Pengo kupishana kauli na msimamo wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC) ambao waliwataka waumini wao kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Kupiga Kura na baadaye kupiga kura ya hapana kuikataa Katiba Inayopendekezwa.
Pengo alitaka waumini kuachiwa wenyewe kuamua cha kufanya baada ya kuisoma katiba hiyo.
Kufuatia kauli hiyo, Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lilimtaka mchungaji huyo kujisalimisha ili ahojiwe juu ya matamshi yake hayo, kitu ambacho mtumishi huyo wa Mungu alikiri, lakini katikati ya mahojiano, ilidaiwa kuwa alipoteza fahamu na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali ya Polisi ya Baracks Kurasini kisha kuhamishiwa TMJ ambako alitibiwa kwa siku kadhaa na kuruhusiwa.

Wakati Askofu Pengo akisema hamjui mchungaji huyo mwenye wafuasi wengi na kutangaza kumsamehe, baadhi ya watu wamehusisha sakata hilo na mambo ya siasa, hasa kipindi hiki ambacho taifa liko njia panda kuhusu kupitishwa au kutopitishwa kwa Katiba Inayopendekezwa, ambayo kura ya maoni imetajwa kupigwa Aprili 30, mwaka huu kote nchini.Gwajima jana alitarajiwa kufika Kituo cha Polisi Oysterbay kwa ajili ya mambo ya kisheria zaidi.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top