Habari Kali
Loading...

HAWA NDIO MARAISI 10 WAREFU ZAIDI DUNIANI...AFRIKA WAPO WAWILI! CHECK LIST HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
pres 
Kila siku watafiti wana habari mpya kuhusiana na maisha, tumeona tafiti nyingi zikifanywa zikiwemo za magari, majumba, watu maarufu.. Lakini sikuwahi kufikiri kwamba kuna siku nitakutana na utafiti unaozungumzia urefu wa Marais duniani.
Leo nakusogezea utafiti ambao ripoti yake ilitolewa January 4 2015 ambao unazungumzia  marais 10 ambao ni warefu zaidi duniani:-
1. Filip Vujanovic
filip
Papa Benedict xvi akiwa na Rais wa Montenegro ambaye ndiye rais mrefu kuliko wote duniani, ana urefu wa futi 6.5
2. Nicolas Maduro
nico
Huyu ni Rais wa Venezuela, anashika nafasi ya pili kwa kuwa rais mrefu, ana urefu wa futi 6.3
3. Bashar Al- Assad
sha
Huyu ndiye Rais wa tatu kwa urefu duniani kutoka Syria, ana urefu wa futi 6.2
4. Stephen Harper
stev
Huyu ni Waziri mkuu wa Canada, ana urefu wa futi 6.2
5. Toomas Hendrik Ilves
ilve
Huyu ni rais wa Estonia ambaye pia aliwahi kuwa mwandishi wa habari, ana urefu wa futi 6.2
6. Paul Kagame
kaa
Kwa Afrika huyu ndiye rais anayeongoza kwa urefu, lakini duniani anakamata nafasi ya sita kwa futi 6.2 huku binti yake akimzidi kwa kuwa na futi 6.6. Hapa Rais Kagame alikuwa na Rais Obama na mkewe.
7. Barack Obama
obb
Barack Obama ni Rais wa Marekani, ana urefu wa futi 6.1 huku mke wake Michelle Obama akiwa na futi 5.11
8. David Cameroon
two
Huyu ni Waziri mkuu wa Uingereza, urefu wake haujatofautiana na wa Rais Obama wa Marekani, wote wana futi 6.1
9. Blaise Compaore
U.S. President Barack Obama and First Lady Michelle Obama With W
Huyu alikuwa Rais wa Burkina Faso ambaye Oktoba mwaka jana aliamua kujiuzulu kutokana na machafuko nchini kwake, ana urefu wa futi 6. Hapa alikuwa na Rais Obama na wake zao.
10. Recep Tayyip Erdogan
TURK
Huyu ni rais wa Uturuki aliyekabidhiwa madaraka mwaka jana, ana urefu wa futi 6

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top