Kila
siku watafiti wana habari mpya kuhusiana na maisha, tumeona tafiti
nyingi zikifanywa zikiwemo za magari, majumba, watu maarufu.. Lakini
sikuwahi kufikiri kwamba kuna siku nitakutana na utafiti unaozungumzia
urefu wa Marais duniani.
Leo nakusogezea utafiti ambao ripoti yake ilitolewa January 4 2015 ambao unazungumzia marais 10 ambao ni warefu zaidi duniani:-
1. Filip Vujanovic

Papa Benedict xvi akiwa na Rais wa Montenegro ambaye ndiye rais mrefu kuliko wote duniani, ana urefu wa futi 6.5
2. Nicolas Maduro
3. Bashar Al- Assad
4. Stephen Harper
5. Toomas Hendrik Ilves
6. Paul Kagame

Kwa
Afrika huyu ndiye rais anayeongoza kwa urefu, lakini duniani anakamata
nafasi ya sita kwa futi 6.2 huku binti yake akimzidi kwa kuwa na futi
6.6. Hapa Rais Kagame alikuwa na Rais Obama na mkewe.
7. Barack Obama

Barack Obama ni Rais wa Marekani, ana urefu wa futi 6.1 huku mke wake Michelle Obama akiwa na futi 5.11
8. David Cameroon

Huyu ni Waziri mkuu wa Uingereza, urefu wake haujatofautiana na wa Rais Obama wa Marekani, wote wana futi 6.1
9. Blaise Compaore

Huyu
alikuwa Rais wa Burkina Faso ambaye Oktoba mwaka jana aliamua kujiuzulu
kutokana na machafuko nchini kwake, ana urefu wa futi 6. Hapa alikuwa
na Rais Obama na wake zao.
10. Recep Tayyip Erdogan
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >