Habari Kali
Loading...

Hii ndiyo List ya makocha 10 wa soka wanaopokea mshahara mkubwa zaidi…!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mtandao wa Richest Lifestyle umetoa list mpya February 2 2015 ya makocha wa mpira wa miguu wanaoongoza kwa utajiri kupitia soka.
Ukitofautisha na kipato cha makocha wa hapa kwetu ambao bado wamekuwa hawapewi kipaumbele kama ilivyo kwa wenzetu, huku klabu kubwa kama za Simba na Yanga bado zimeendelea kuwaamini makocha wa kigeni
Hii ndiyo list kamili ya makocha wenye kupokea kiasi kikubwa cha fedha ndani ya klabu zao:-
1. Pep Guardiola
Pep Guardiola, Bayern Munich manager
Huyu ni kocha wa Buyern Munich, ameitumikia timu yake kwa mafanikio makubwa huki akiisaidia kupata mataji mbalimbali, ndiye kocha anayeongoza kwa kulipwa mshahara mkubwa kuliko wote kwa kupokea kiasi cha dola milioni 24
2. Jose Maourinho
mor
Huyu ni kocha wa Chelsea ambaye anajulikana kwa kuwa na maneno mengi,kwa sasa yupo mbioni kuwania ubingwa wa ligi kuu ya England,ni kocha anashika nafasi ya pili kwa kulipwa kiasi kikubwa cha pesa na hupokea kiasi cha dola milioni 17
3. Marcello Lippi
macelo
Ameifundisha kwa mafanikio makubwa timu ya Taifa ya Italy na kufanikiwa kutwaa kombe la dunia mwaka 2006,anapokea kiasi cha dola milioni 14
4. Fabio Capello
capelo
Huyu ni kocha wa timu ya Taifa ya Russia,anapokea kiasi cha dola milioni 13
5. Carlo Ancelotti
carlo
Huyu ni kocha mkuu wa Real Madrid, anapokea kiasi cha dola milioni 10.5
6. Arsene Wenger
Arsene Wenger, Manager of Arsenal
Amekuwa kocha wa Arsenal toka mwaka 1996, na anapokea kiasi cha dola milioni10
7. Gerardo Martino
gera
Huyu ni kocha wa Argentina,anapokea kiasi cha dola milioni 7.5
8. Jurgen Klopp
jurge
Huyu ni kocha wa Borrusia Dortmund, anapokea kiasi cha dola milioni 6
9. Manuel Pellegrini
pele
Huyu ni kocha wa Manchester City, anapokea kiasi cha dola milioni 5.75
10. Jorge Jesus
benfic
Huyu ni kocha wa klabu ya Benefica tangu mwaka 2009, anapokea kiasi cha dola milioni 5.5

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top