Ukitofautisha na kipato cha makocha wa
hapa kwetu ambao bado wamekuwa hawapewi kipaumbele kama ilivyo kwa
wenzetu, huku klabu kubwa kama za Simba na Yanga bado zimeendelea
kuwaamini makocha wa kigeni
Hii ndiyo list kamili ya makocha wenye kupokea kiasi kikubwa cha fedha ndani ya klabu zao:-
1. Pep Guardiola

Huyu
ni kocha wa Buyern Munich, ameitumikia timu yake kwa mafanikio makubwa
huki akiisaidia kupata mataji mbalimbali, ndiye kocha anayeongoza kwa
kulipwa mshahara mkubwa kuliko wote kwa kupokea kiasi cha dola milioni
24
2. Jose Maourinho

Huyu
ni kocha wa Chelsea ambaye anajulikana kwa kuwa na maneno mengi,kwa
sasa yupo mbioni kuwania ubingwa wa ligi kuu ya England,ni kocha
anashika nafasi ya pili kwa kulipwa kiasi kikubwa cha pesa na hupokea
kiasi cha dola milioni 17
3. Marcello Lippi

Ameifundisha
kwa mafanikio makubwa timu ya Taifa ya Italy na kufanikiwa kutwaa kombe
la dunia mwaka 2006,anapokea kiasi cha dola milioni 14
4. Fabio Capello
5. Carlo Ancelotti
6. Arsene Wenger
7. Gerardo Martino
8. Jurgen Klopp
9. Manuel Pellegrini
10. Jorge Jesus
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >