Habari Kali
Loading...

Unataka kujua Ronaldo kaifunga mara ngapi timu yako uipendayo?? Cheki listi hii!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
 Katika kipindi cha takribani wiki mbili sasa mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo amekuwa akitawala ‘headlines’ za vyombo vya habari ulimwenguni kutokana na kuimarika kwa kiwango chake katika siku za hivi karibuni.
Wikiendi iliyopita Ronaldo aliweka rekodi ya kufunga magoli 5 bila kuhusisha mkwaju wa penati katika mechi dhidi ya Granada, na jana usiku Ronaldo aliipa tena Real Madrid kwa kufunga goli muhimu dhidi ya Rayo Vallecano – hivyo akawa ametimiza idadi ya magoli 300 akiwa na Real Madrid – hii ni rekodi nyingine katika faili lake, amekuwa ndio mchezaji aliyefikisha idadi hiyo kwa haraka zaidi, ndani ya mechi 288 tu.

Cristiano Ronaldo amekuwa mwiba mchungu kwa karibia kila timu pinzani amewahi kucheza dhidi yake, na leo nakuletea listi ya timu na idadi ya magoli ambayo amewahi kuzifunga timu pinzani katika ligi ya Spain, England, UEFA CUP, na Champions League.
Magoli – Klabu
18    –     Sevilla
15     –      Atletico Madrid, Barcelona, Getafe 14     –      Atletico Bilbao 
13     –        Malaga
12      –       Celta Vigo, Levante
11      –       Villarreal, Granada
10     –     Osasuna
9       –    Aston Villa, Valencia, Rayo Vallecano, Real Sociedad, Deportivo
8       –    Tottenham
7       –     Schalke, Ajax, Zaragoza, Mallorca, Elche, Almeria, Fulham, Wigan
6      –    Racing Santander, Galatasaray, Arsenal, Bolton, Newcastle, Portsmouth
5      –    Everton, Manchester City, West Ham, Middlesbrough
4     –    Bayern Munich, Marseille, Lyon, Xerez, Espanyol, Derby, West Brom, Reading
3     –    FC Copenhagen, Borussia Dortmund, Roma, Juventus, CSKA Moscow, Real Betis,        Valldolid, Dinamo Moscow, Liverpool, Blackburn
2     –   Ludogorets, AC Milan, Sporting Lisbon, Basle, Zurich, Eibar, Gijon, Hercules, APOEL, Southampton, Birmingham, Stoke, Hull, Manchester United, Watford
1      –   Auxerre, Inter, Gamba Osaka, Porto, Murcia, Tenerife, Cordoba, Ponferradina, Debreceni, Sunderland, Charlton, Chelsea, Millwall, Exeter

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top