Habari Kali
Loading...

Kamanda Mpinga: Madereva Waliosababisha Ajali Kwa Uzembe Kufutiwa Leseni Zao !

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama Barabarani Mohammed Mpinga,akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani ofisini kwake jijini Dar es Salaam  jana.
 
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano  na Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama  barabarani Mohammed Mpinga  jijini Dar leo.(Picha na Emmanuel Massaka).

Na Chalila Kibuda.
KIKOSI cha Usalama Barabarani kimesema wanazifuta leseni zote kwa madereva waliosababisha ajali kwa uzembe zikiwemo ajali za hivi karibuni.

Hayo ameyasema jana jijini Dar es Salaam,Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani,Mohamed Mpinga,amesema katika kukabiliana na wimbi la ajali ni pamoja na kufuta leseni kwa madereva wazembe ambao wanasababisha ajali.

Mpinga amesema ajali za hivi karibuni zimesababishwa na uzembe wa madereva, hivyo ni lazima kufuta leseni zao na hawatakiwi kufanya kazi yoyote ya udereva nchini pamoja na kuweka katika tovuti taarifa zao ili watu wengine wasiwachukue.

Amesema katika usafiri wa mabasi watakuwa wanaangalia muda kutoka sehemu hadi nyingine na basi ambalo litakuwa mbele ya muda uliopangwa katika eneo husika hatua zitachukuliwa.

Mpinga ametoa pole kwa wafiwa waliopoteza maisha katika ajali za hivi karibuni na kusema wale wote waliosababisha ajali hizo watafutiwa leseni na hatua zingine kufuta ili madereva wengine wasifanye makosa hayo.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top