Habari Kali
Loading...

Lulu: Kuharibu ni Rahisi Kuliko Kujenga 'Habari za Ubaya Zinasambaa Sana Kuliko za Kujenga'

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Staa wa Bongo Movies,  Elizabeth Michael ‘Lulu’ anasema baadhi ya watanzania wanapoteza muda wao katika mitandao ya kijamii kwa ajili ya kuwaumiza wengine na kuwatusi bila sababu, huku wakiwa makini kusikiliza mabaya na kuyavumisha tofauti na taarifa njema zenye faraja kwa jamii.

Ukiwa kama Binadamu kila jambo ukitaka kulisambaza kwanza tafakari katika nafsi yako, je huyo unayemtenda hana maumivu kama mwanadamu, tumekuwa mabingwa wa kuwaumiza wengine kupitia mitandao ya kijamii bila huruma,”

Sijui kuna mtu anayeombea maumivu kila mara kwani iwe Lulu kila jambo baya, na asiwe mtu mwingine hiyo inaonyesha hata wanaojiita marafiki zangu waweza kuwa maadui zangu,”anasema Lulu.

Lulu anasema kuwa kuharibu ni rahisi sana kuliko kujenga kwani mara nyingi habari za kujenga ubaya zinasambaa sana kuliko wema, lakini anaamini kuwa Mungu ndio kila kitu na ajua ukweli wa kila jambo na hawezi kumhukumu mtu yoyote.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top