Habari Kali
Loading...

Mapya yaibuka..!! Wakati magaidi wakifanya mauaji Kenya, Ndege iliyotakiwa kubeba wanajeshi ilikuwa inatumika KIFAMILIA!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Ndanu Munene Mbithi (aliyevaa njano) ambaye ni mtoto wa Kammanda Rogers Mbithi, akiwa na rafiki zake kwenye ndege ya Jeshi la Polisi la Kenya.
NDEGE ya jeshi la anga la polisi nchini Kenya ambayo ilikuwa itumike kupeleka askari kwenye Chuo Kikuu cha Garissa wakati mauaji ya kigaidi yanaendeshwa dhidi ya wanafunzi, ilikuwa iko Mombasa ikitumiwa kwa mambo binafsi na kamanda wa jeshi hilo, Rogers Mbithi.
Sehemu ya ndani ya ndege hiyo.
Ndege hiyo ilikuwa isafirishe askari wajulikanao kama ‘GSU Recce’ kwenda Garissa  siku ya Aprili 7, ambapo ilikuja kuonekana kwenye mtandao wa Instragram picha ya mmoja wa mabinti wa Mbiti wakiwa kwenye ngazi za ndege hiyo na maneno yaliyoandikwa:  "Mombasa ni raha tu".  Maneno mengine yaliyokwenda sambamba na picha hiyo yalikuwa ni: "Hi Mombasa...#birthdayweekend".
Mkuu wa jeshi la polisi (IGP), Joseph Boinnet, alikuwa amesema awali kwamba ndege hiyo haikuwepo ili kupeleka askari huko Garissa na amesema uchunguzi umeanzishwa ili kufahamu ndege hiyo ilikuwa wapi wakati magaidi wakiua wanafunzi 147.
-Via: Globalpublishers

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top