Habari Kali
Loading...

"Nimeshindwa Kuwa Rubani wa NDEGE Sababu ya Filamu...."...Irene Uwoya

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mwigizaji katika tasnia ya filamu Tanzania Irene Uwoya amesema kuwa filamu zimeharibu mipango yake ya miaka mingi ya kutaka kuwa mwongozaji wa ndege yaani Rubani.

Irene alisema hayo weekend hii kupitia kituo cha Radio cha East Africa Radio na kudai kuwa miaka yote aliyokuwa akisoma lengo lake kubwa lilikuwa ni kuja kuwa muongozaji wa ndege Rubani kwani ndiyo kazi aliyokuwa akiipenda na alianza kusoma masomo ambayo aliamini moja kwa moja yangeweza kumfanya kufikia ndoto hizo.
Amesema ndoto yake hiyo iliingia ukakasi baada ya kuanza kufanya filamu za bongo na kujikuta sasa maisha yake yapo kwenye filamu zaidi.

Irene uwoya ambaye alikuwa ni mke wa ndoa wa mchezaji mpira Sulemani Yamin Ndikumana alisema kati ya mwaka 2007 na 2008 ndipo alipoingia katika tasnia ya filamu ambapo anadai kuwa hakuichukulia serious kazi hiyo, sababu tayari alikuwa na mipango ya kusoma na kuja kuwa rubani lakini aliamua kuingia katika tasnia hiyo kufuatia kushawishiwa na baadhi ya watu ambao waliamini kuwa anaweza kuigiza.

"Katikati ya mwaka 2007 na 2008 ndipo niliingia katika tasnia ya filamu nchini tena kwa kushawishiwa na baadhi ya watu, ila mimi nilikuwa nafanya tu sikuwa serious kabisa maana mimi malengo yangu yalikuwa nisome nije kuwa rubani, lakini baada ya kuanza kufanya nikaona watu wananikubali na kupenda kile nikifanyacho na nilipoanza kupata mafanikio nikaona okay kumbe hii ni kazi nikaanza kufanya kazi sasa."

"Nikajikuta sasa maisha yangu yote yameegemea katika filamu na nikaanza kufanya filamu kama maisha mpaka sasa, ingawa kuna kipindi nilikuwa kimya kidogo kutokana na matatizo ya ndoa yangu, maana hakuna kitu kilikuwa kinanitesa kama maneno ya watu, ilifika kipindi nilikuwa siwezi kufanya jambo lolote kwa kuhofia watu, maana nilikuwa naona kama watu wananizungumzia mimi, hivyo kipindi kile kilinirudisha nyuma kidogo, lakini nashukuru Mungu baadaye niliona ni suala la kawaida, maana kuna watu wengi walikuwa katika ndoa na mwisho wa siku ndoa zao zilivunjika na maisha yaliendelea kuanzia hapo ndipo nilipata nguvu na kurudi kuendelea na kazi kama awali, ila kipindi hicho kwa kweli kimenipa taabu sana" Aliongeza Irene Uwoya.

Mbali na hapo Irene alizidi kuweka wazi kuwa kupitia filamu amefanya mambo ya maendeleo mengi sana ikiwepo kuishi maisha yake ayatakayo yeye pasipo kumtegemea mtu yoyote, lakini pia filamu zimeweza kumjengea nyumba ambayo anadai nyumba hiyo inakamilika muda si mrefu tokea sasa.
Amesema hiyo ni mbali na ziara nyingi na mialiko mingi aipatayo nje ya nchi ambayo nayo humjenga na kumpa nafasi zaidi katika kukutana na watu ambao nao wanakuwa na msaada katika kumtengenezea network nzuri ya kazi yake ya sanaa.

Licha ya kuzungumzia mambo mazuri ambayo ndani ya tasnia ya bongo movie lakini Uwoya alisema kuwa kwa sasa tasnia hiyo inaingiliwa na watu ambao wengi wao hawana vipaji wala uwezo wa kuigiza na wanapewa nafasi jambo ambalo linasababisha tasnia hiyo kushuka chini, hivyo anadai kuwa kwa sasa ana mpango wa kukaa na wasanii wenzake.
wakubwa ili waweke mpango wa kuona jinsi gani wanaweza kuzuia watu wasio na vipaji kutoingia katika tasnia hiyo na kuiharibia jina tasnia ya bongo movie ambayo imeweza kubadili maisha ya vijana wengi na kutoa ajira pia kwa vijana wengi.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top