Kabla ya wavamizi kadhaa kuingia ndani ya jengo walianza kwa kupiga
risasi za kutishia, kisha kulipua bomu na risasi ziliendelea kusikisa
ndani ya jengo hilo wakati Al Shabaab wakitekeleza unyama huo wa
kutisha.
Msemaji wa wa kitengo cha mashambulizi cha kundi la wapiganaji wa Al Shabaab Sheikh Abdiasis Abu Musab, amethibitisha kuwa ni wao waliotekeleza shambulizi hilo na kuwa ''wapiganaji wetu wamekwisha ingia ndani ya jengo hilo la wizara ya elimu''.
Kutokana na ripoti ya Polisi mjini Mogadishu inasema, mapigano yanaendelea hadi sasa ndani ya jengo hilo baina ya majeshi ya serikali na wapiganaji.
Wapiganaji wa Al Shabaab wametekeleza mashambulizi kama haya katika siku za hivi punde katika Chuo Kikuu cha Garissa mjini Nairobi nchini Kenya na kuuwa watu wapatao 150 huku wakiacha mamia ya majeruhi wakiendelea kuugulia wakati huo wapiganaji wote watano wa al shaabab wakiuawa na jeshi la serikali nchini Kenya.
Mwezi uliopita wapiganaji wa Al Shabaab walishambulia hoteli moja mjini Mogadishu uvamizi huo ulikamilika siku mbili zilizofwatia.
Waandishi wa habari walioshuhudia matukio kabla ya uvamizi huo wanadai kuwa kulikuwa na milipuko miwili mikubwa kabla ya milio ya risasi kuanza kusikika kutoka jengo hilo. Hakuna kundi lililothibitisha kutekeleza shambulizi hilo lakini Al Shabaab imekuwa ikitumia mbinu kama zilizotumika leo.
Taarifa zaidi zinasema kuwa, kundi hilo la waislamu la Al Shabaab linapinga serikali iliyoko sasa ambayo inaungwa mkono na majeshi ya Umoja wa Afrika.
CHANZO NA BBC
Msemaji wa wa kitengo cha mashambulizi cha kundi la wapiganaji wa Al Shabaab Sheikh Abdiasis Abu Musab, amethibitisha kuwa ni wao waliotekeleza shambulizi hilo na kuwa ''wapiganaji wetu wamekwisha ingia ndani ya jengo hilo la wizara ya elimu''.
Kutokana na ripoti ya Polisi mjini Mogadishu inasema, mapigano yanaendelea hadi sasa ndani ya jengo hilo baina ya majeshi ya serikali na wapiganaji.
Wapiganaji wa Al Shabaab wametekeleza mashambulizi kama haya katika siku za hivi punde katika Chuo Kikuu cha Garissa mjini Nairobi nchini Kenya na kuuwa watu wapatao 150 huku wakiacha mamia ya majeruhi wakiendelea kuugulia wakati huo wapiganaji wote watano wa al shaabab wakiuawa na jeshi la serikali nchini Kenya.
Mwezi uliopita wapiganaji wa Al Shabaab walishambulia hoteli moja mjini Mogadishu uvamizi huo ulikamilika siku mbili zilizofwatia.
Waandishi wa habari walioshuhudia matukio kabla ya uvamizi huo wanadai kuwa kulikuwa na milipuko miwili mikubwa kabla ya milio ya risasi kuanza kusikika kutoka jengo hilo. Hakuna kundi lililothibitisha kutekeleza shambulizi hilo lakini Al Shabaab imekuwa ikitumia mbinu kama zilizotumika leo.
Taarifa zaidi zinasema kuwa, kundi hilo la waislamu la Al Shabaab linapinga serikali iliyoko sasa ambayo inaungwa mkono na majeshi ya Umoja wa Afrika.
CHANZO NA BBC
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >