Moja ya ishu zilizojadiliwa Bungeni
katika vikao vilivyofanyika ndani ya wiki hii ni suala la kelele ndani
ya Miji Mikubwa TZ kam vile Dar.. Wabunge wakasema
ikiwezekana kuwepo utaratibu wa kufungia kumbi za sherehe ambazo
zinaongoza kwa kupiga muziki na kusababisha kero ya kelele.
Nimepita mitandaoni nikakuta hii list mtu wangu.. Hapa ni Miji mikubwa mitano inayoongoza kwa kelele Marekani.

No.1: Karibu New York
mtu wa nguvu !! Huu ni moja ya Miji yenye watu wengi zaidi Marekani,
mishemishe ni nyingi pia ikiwemo Utalii. Huu ni namba moja kwa kelele
Marekani.

No.2: Detroit, Michigan.
Unaambiwa isikushtue mji huu kuwa namba mbili kwa kuwa na makelele
mengi kwa Marekani, unatajwa kuwa unaongoza pia kwa matukio ya uhalifu.
Ukiingia hapa mtu wangu kaa macho.

No.3: San Francisco, California.
Utafiti uliofanywa na University of California, Berkeley unaonesha mtu
mmoja kati ya watu sita wako kwenye hatari ya kuugua magonjwa ya moyo
kutokana na kelele za magari.

No.4: Miami, Florida.
Huu ni mji ambao uko kwenye list ya miji ya starehe zaidi Marekani.
Sehemu kubwa ya malalamiko kuhusu kelele inasababishwa na kutua na
kuruka kwa ndege, O’Hare International Airport ilikuwa inapokea ndege
zaidi ya 2,500 kila siku mwaka 2015.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >